Nauza majogoo yako ishirini tu aina ya LIGHT SUSSEX yana umri wa miezi saba yana afya njema. Sababu ya kuyauza ni kwamba ninayo 40 nataka nibaki na 20 tu. bei ni elfu 20 kwa jogoo mmoja...
Napenda tena kuwataarifu wa jf kuwa me ninauza mchele kwa bei ya jumla na rejareja na pia napokea order kwa mazao mbalimbali ndan na nje ya nchi popote ulipo kwa mawasiliano unaweza nitafuta kwa...
Nataka kuanza biashara ya utotoleshaji wa vifaranga chotara na kienyeji, napenda kufahamu kwa wazoefu wa biashara hii. Huwa mnawalipisha shilingi kwa yai 1 na taratibu zingine.
Mmeamkaje ndg zangu wanajamvi, mi ni mkazi wa mjini Mtwara kuna kazi nimepata ya kusupply chakula mahali fulani na mtaji wangu nilionao nao ni sh.milioni 2 wakati unaohitajika ni 8 milioni hivyo...
Karibu Legacy Impresion Company ujipatie logo ( nembo) kwa bei nafuu kabisa na haraka, kuna nembo ambazo tayari zimesha dizainiwa za aina tofauti tofauti, kulingana na tofauti za biashara...
Kumekuwa na Mkanganyiko wa matumizi pia ya hivi vitu viwili Branding na Marketing ( Masoko) na imekuwa ni tatizo kugundulika ipi inayotakiwa ianze kati na ipi ni kubwa zaidi ya mwenzake .
kwa...
Hello wanajamvi!,
Natafuta kampuni ya kununua ya freight forwarding and clearing,Nahitaji kuinunua nikiwa kama dalali.
Ningependa kujua taarifa kama zifuatazo:-
Ina patikana wapi?
Ina muda gani...
Hkwa wale wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi, waandishi wa vitabu, hadithi. Na wengine wote
huduma hii inapatikana kwa bei nzuri kabisa 400 @ page
tunapatikana dar es salaam
piga simu muda...
Nataka kujiunga na Forever Living products niwe nauza bidhaa zao za alovera kama nyia ya kuongeza kipato changu.wenye uzoefu naombeni ushauri au wale mliojiunga na mko mpaka sasa au mliojitoa...
Habari njema kwa wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi, waandishi wa vitabu, hadithi. Na wengine wote
huduma hii inapatikana kwa bei nzuri kabisa 400 @ page
tunapatikana dar es salaam
piga simu...
Habari!! jamani, mimi ni Dereva leseni D, kwa sasa naishi Kigambon Dar es salaam nilikuwa naomba kwa mwenye au anayeuza gari ndogo aina yoyote inayofaa kwa anayeuza kwa ajili ya shughuli...
Msaada dawa ya kuondoa harufu mbaya kwenye banda la mifugo kwani kila cku tunalifanyia usafi ila bado linatoa harufu hasa msimu wa mvua,hii harufu imekua ikiwa ni kero kwa majiran na nyumban kwetu...
Wakuu heshima kwenu
nina kuku wa kienyeji wa kisukuma kutoka kirengezi na kongwa morogoro. ni wakubwa sana. napatikana sinza mori, ntakuletea mahali ulipo kwa dar. Pia napokea oda ya mayai ya...
Habari wana JF mimi naishi mkoani Dodoma nimejiingiza katika biashara ya ufugaji kuku wa nyama. Shida yangu natafuta vifaranga wa kuku wa nyama wa kununua kwani nimekuwa nikiagiza kwa wafanya...