Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Heshima zenu wakuu, Naomba kumtembelea Mjasiliamali yeyote anaefuga kuku kwa Hapa Dar, Kikubwa ni kupata uzoefu kidogo hasa kwenye mapangilio wa Banda na vitu vingine. Kwa yeyote alietayari...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
HAY WANAJAMVI WENZANGU Mimi ni mfanyabiashara na ni mbunifu wa upambaji katika kumbi mbalimbali za sherehe mbalimbali zikiwemo harusi, kitchen party, kipaimara, misiba na mikutano mbalimbali ya...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Biashara haiangalii unaamini kupitia nini, biashara haiangalii wewe ni mkristo,mpagani muislamu au mhindu,lakini kuna imani ambazo biashara inakutengenezea na inataka ufanikiwe kupitia hizo...
6 Reactions
14 Replies
4K Views
Rafiki yangu na msomaji mzuri wa AMKA MTANZANIA bwana Jiduma Luhende kitambo kidogo alinitumia kitabu hiki kinachoitwa Why You’re Dumb, Sick And Broke kilichoandikwa na Randy Gage. Baada ya...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
wanajamvi nimefanikiwa kulima karanga na mimepata gunia 120 ila tatizo soko limekua adimu .mwenye kujua soko zuri aweke jamvini
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mambo zenu wanajamvi. Leo nimeona niongelee kuhusu kilimo na mchango wake katika kuongeza ajira kwa vijana wengi japa nchini. Katika vyombo vya habari kumekuwa na watu wengi wakiwa wanafanya...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Ndo nimemaliza chuo this year. Ajira hazipo na kama zpo hazitatimiza ndoto zangu za kwenda brazil kucheki world cup! Chumba kitupu kipo hapa home ndo nataka iwe ofice yangu! Nitaomba kwa family 2...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
WANAO HITAJI AGENT WA BIDHAA ZAO NA HUDUMA KWA MKOA WA TANGA NIPO AGENT TUWASILIANE KWA wani PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
10 Reasons Why You Will Never Become Rich 1) You spend too much 2) You do not save enough 3) You have to much debit 4) You put all your eggs in one basket 5) You do not have insurance 6) You do...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu ninaomba ushauri wa nini hasa napaswa kukifanya ili mradi wangu uwe na tija na ufanisi ili kupata matokeo ninayoyatarajia. Iko hivi: Baada ya kuchunguza hali halisi ya ajira kwa vijana...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu. Msaada please.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mie nipo wilaya ya Ruangwa mkuoa wa lindi, nina mawazo mawili ya biashara ambayo ni; 1. bookshop 2. studio ya picha na video shooting Naomba msaada kwa wenye idea au uzoefu kati ya wazo moja hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naanza kwa salutation kwa wote, ninaanzisha biashara ya dagaa wakavu wakubwa wasafi, ninaanza na gunia 10. Nipo Musoma mjini naomba mnijuze masoko ya bidhaa hii na kwa alie tayari kunitaarifu...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Elimu inayokosekana na inayowapoteza wengi katika maisha Katika mfumo wetu wa elimu kuna elimu muhimu inayokosekana na hakuna sehemu ya kuipata hadi Ujitambue mwenyewe ambapo elimu hiyo ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu heshima kwenu. natafuta fremu dar isiyozidi shilingi 100000 kwa mwezi. iwe karibu na shule zaidi ya moja. kama ipo karibu na shule moja tutaelewana. aliye tayari ani pm. tusaidiane wajasiliamali
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nipo Dar nafanya kazi nimeajiriwa ,kwa sasa nina mil 2 nahitaji msaada wa biashara ya kufanya na mke wangu kwa kuanzia.Naishi maeneo ya kimara baruti na mke wangu anakaa tu home ,yeye anataka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo wana JF Habari za mchana poleni sana na majukumu ya siku nzima Mimi ni kijna nina mkakati wa kufungua shule ya english medium huko jijini mwanza . Nko katika maandalizi ya awali kabisa ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wanajamvini, nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge. Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu kumekuwa na mjadala mkubwa ikiwa mjasiriamali anazaliwa au anatengenezwa. Kwa kuangalia tabia za wajasiriamali na tabia za binadamu kwa ujumla, wajasiriamali wana tabia za...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wana Jukwaa, Kama kichwa kinavyoeleza, nafikiria kufungua biashara husika ila kabla ya kufungua nimeona nilete uzi jukwaani ili nipate maelekezo kutoka kwa watu wenye uzoefu na biashara...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…