Habari wakuu,
Mimi ni member kwenye group moja huko Facebook. Members wanajadili sana mambo ya ujenzi mpaka wamefikia level za kuonana na kufanya vikao kujadili mambo mbalimbali. Hao wadau...
Guys nina plan la kufanya research kuhusu Greenhouse farming......ninaishi Dar na ningependa kufanya research na kupata mawaidha mawili matatu hata kwenda kuangalia angalia baadhi ya sehemu hapa...
Habari wadau? Jaman mie nauliza kama Ruaha panafaa kwa kilimo cha mbogamboga kama nyanya, vitunguu hoho na kadhalika. Nimepata shamba kijiji kimoja kinaitwa msolwa. Ni mbele ya hifadhi ya Mikumi...
Natafuta kijana au msichana mwenye ujuzi wa kutumia cherehani, kijana awe muwajibikaji mwenye kiu ya mafanikio ya muda mrefu. Tafadhali wasiliana na mimi PM kwa maelezo zaidi
habar,nilikuwa napenda ushaur wenu wa kina juu ya uanzilishi wa biashara ya kawaida ya uzalisha wa mtaji wa 50-60m nijiusishe na biashara yenye chachu na tija la kimaendeleo
Heshima kwenu,nipeni mwongozo ninamashine ya kusaga na kukoboa napia nafuga nguruwe had sasa wapo 18,nifanyeje ili nipate mkopo bank kwni lengo ni kuongeza had wafike 250 kufikia mwisho wa mwaka...
Kwa kifupi sana naandika, amka mkulima, mshikane nchi nzima, mkatae kuuza mazao kwa madalali, mpange bei zenu wenyewe, tuwe na centre za kuuzia mazao yetu kikanda. tulime kwa kalenda, wanunuzi...
Nahitaji vifungashio vya kuweka bidhaa za unga unga kama mdalasini zenye ujazo wa gramu mia.pamoja na mifuniko yake nikifunga ziwe sield.,pia mnaweza nielekeza wapi vifungashio vinapatikana
Nilitaka kujua kampuni gani ya chakula cha mifugo hususani kuku kwa sasa kina soko zaidi. Nimesikia kampuni za Hill, Falcon, n.k. Naweza pata mawasiliano yoyote?
heshima kwenu wadau
kama heading inavyojieleza,nahitaji kufanya ujasiliamili huo tajwa. anaejua kuhusu mahitaji,hatua na taratibu za kufuata atuelimishe ili tuanze kujiajiri mapema maana huu...
Salaam kwa Wote humu! Nahitaji kujifunza Ufugaji Bora wa Kuku na mifugo mengne kwa kuona jinsi wengne walivyotengeneza Mazingira mazr na Jinsi wanavyofanya au kuendesha ufugaji vzr. Msaada...
Katika pitapita zangu mitaani, nimegundua kuwa kuna uhitaji mkubwa kwa bidhaa ndogo ndogo kama Ice cream, koni, bisi, bites, vinywaji baridi etc etc.
Kutokana na hilo, ninataka kama itawezekana...
Naombeni msaada wenu wataalam wa biashara kuhusu upangaji wa bei za bidhaa na huduma. Mimi ninataka kufanya biashara ambayo inahusiana nambo ya IT. Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu au...