Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Heshima kwenu. Nahitaji kufuga bata bukini naomba alie nao tuwasiliane.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza Kuku wa Nyama ( broilers), Idadi ni 1000, Wenye Uzito Wastani Kg 1.5, Nipo Maeno ya Mzinga Sec M/Gati-Kitunda , Dar es salaam Bei 5000, Piga Simu ; 0769513897
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeambiwa kilimo cha muhogo na vitunguu ni kilimo chenye tija na faida kubwa sana kulinganisha na mazao mengine, kwani zina soko zuri na la uhakika, kwa anaefahamu juu ya kilimo cha mazao haya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Za muda huu watafutaji wenzangu. Mimi nina mambo machache naomba kujuzwa na kusaidiwa kupanua upeo. Kwa muda sasa nimekuwa na biashara yangu kichwani na kuiandalia business plan. I see myself...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Kwa kweli wadau mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu suala la kujiajiri kupitia hii kampuni inaitwa TREVO baadhi mmesikia ama mlishajiunga zamani, mshikaji yeye aliingia siku nyingiiiii, kuanzia mwezi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habar njema kwa wajasiliamali wenzangu,kwa mahitaji yako ya vifaranga chotara,mayai na kuku piga namba 0789 123461 utahudumiwa haraka,bidhaa zetu ni bora sn.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ndugu Marafiki. Nipo katika wilaya moja huku Kanda ya ziwa. Katika kuhangaikia maisha nimeona ni vyema nikajiingiza katika biashara japo mimi mfanyakazi. Kuna mtu alinipa wazo la kufanya biashara...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza kuku Unaowaona pichani, ni wakubwa wazuri hawana tatizo lolote. Kuna wanaotaga kwa sasa na wanaotarajiwa kuanza kutaga muda wowote kuanzia sasa. Nauza na majogoo wote. Atakayenunua kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna msemo unaosema usitazame na kutamani mafanikio ya mtu peke yake, tazama pia na njia alizopitia kufikia mafanikio hayo. Si kwa kilimo pekee ni katika jambo lolote lile ulifanyalo utakumbana...
3 Reactions
10 Replies
5K Views
GREENHOUSE FARMING IN TANZANIA Greenhouse ni nyumba ya kudumu ilyo zungushiwa kioo ama plastic ambzao humuwezesha mkulima kufanya shughuli zake za kilimo akiwa ndani ya chumba ambacho kina joto...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu? Natumaini wote mu wazima wa afya....MImi nilikuwa naomba ushuri wenu, nina eneo kisarawe lenye ukubwa wa takribani eka kumi sasa kwa ukanda ule wa mkoa wa pwani mnaweza...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba wajasiriamali au wafanyabiashara tupeane uzoefu hasa kwenye kuajiri: 1. Unatumia vigezo gani kumuajiri mtu? 2. Unapataje mtu sahihi wa kukufanyia kazi zako? 3. Unatumia vigezo gani...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini za saa hizi waungwana ?samahan naulizia ni biashara gan ya kutoa vitu vijijin na kuvileta mjini inalipa zaid?naomba msaada wenu tafadhali.asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayefahamu, ninaomba anipe taarifa sehemu gani nitapata unga wa mbegu za mchicha na dawa inayoitwa kupona hapa Dar Es Salaam. Ahsanteni sana.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
nina mil 15 kama kianzio,ninampango wa kufungua duka la jumla la vitu mbali mbali kama unga,sabuni,maji,vocha,sabuni n.k...nipo kimara mwenye uzoefu na biashara hii naomba aniambie changamoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asali mbichi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu wana jamii forum samahani nilikuwa nauliza kama kuna mtu anayafahamu mashirika ya kilimo au ya wakulima Tanzania Naomba anitajie kwani Nina research nataka kuifanya lakini sijajua...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Oriflame has given me and so many other individuals the means to reach for our Dreams..Join my Oriflame family as we Change Lives with Oriflame (smart business) mtu yeyote anaweza akajiunga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (Bachelor of Commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau ushaur, ni bank gan yenye fixed account yenye riba kubwa?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…