Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

mwenye shida hizo na nyinginezo za umeme kwa ujumla kwa ufumbuzi wa uhakika piga 0656898431 au 0732 200 494. karibu, usiogope, usisite ufumbuzi ni wa wa uhakika, amini utaona.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Awe na uwezo wa kupga hesabu na anaexprience ya kuuza cjin ya miaka 5 na hajawah kuiba chochote dukan wala kuonga na awe na degree ya account
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Natafuta kazi nimesomea maendeleo ya jamii jinsia na watoto, nina Diploma ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto. Naombeni mnisaidie wana JF
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kampuni medium size, iliyosajiliwa Brella, CRB na TRA yenye uzoefu wa kutosha kwenye shughuli zilizoonyeswa na nyinginezo inatafuta mbia kwa njia yoyote ikiwemo mkataba wa kufanya kazi na dalali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani ndugu yangu anasaka mtaalamu wa jenereta akamtengenezee imsaidie kipindi hiki cha umeme wa mgao! Ni jenereta ndogo ya matumizi ya nyumbani tu, kama wamfahamu mtu au una contacts zake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
The Julius Nyerere Master's Scholarship The University of Edinburgh will offer one scholarship to students from Tanzania for postgraduate Master's study in any subject offered by the University...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ajira JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA TANGAZO LA AJIRA Jeshi la Polisi Tanzania linatangaza nafasi za ajira ya kazi ya Polisi kwa...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
POSITION: NOC ATTENDANT. CATEGORY: TELECOMMUNICATION, ENGINEERING, IT NUMBER OF POSITION: 1 ROLE: Supervise and monitor performance of Network Operation Center (NOC) to ensure that...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau mwaka mpya umeenza nami napenda kutoa maoni machache kuhusu jukwaa hili. Zamani jukwaa hili lilikuwa ni sehemu nzuri sana ya kupata habari kuhusu nafasi mbali mbali za kazi, ilifikia hatua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
AccessBank Tanzania is a full commercial bank providing micro, small and medium-sized enterprises (MSMEs) with a broad range of appropriate financial services. Established in 2007, the bank is...
0 Reactions
58 Replies
10K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa na hamu ya kufanya kazi katika mojawapo ya ofisi ya TAKUKURU au Kamisheni ya Maadili ya Viongozi. je nitumie njia ipi nipate nafasi huko? Kazi ninayotaka iwe ya mkataba...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
About the Company: Sao Hill Industries is fully owned by Green Resources AS of Norway (Green Resources | Carbon Offset | African forestry), which has projects in Tanzania, Mozambique and Uganda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Qualifications ZANGU. 1. Bachelor in computer science/ information systems 2. Data bases ( oracle, my sql, postgress, with good knowledge of sql server). 3. Programing ( java, jsp, j2ee, c/c++...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
natafuta kazi ya IT kwa hapa Dar es salaam.Ninasomea diploma in IT mwaka wa mwisho. tumia eliah.william@yahoo.com or no.0718 660812.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenzenu nimekumbwa na masahibu ambayo najua wengi pia wamepitia sema tunatofautiana uvumilivu na kuhandle stress. Napiga mzigo kwenye kampuni binafsi bosi mpya wa sasa nae pia mwajiriwa kama...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Je una ndugu jamaa au rafiki na ungependa kumtafutia kazi ya uangalizi wa nyumba. Nitumie message yaani PM.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama mwajili wako anakupa pesa ndogo na wewe unaendelea kukaa hapo wewe ni ********** Imetangazwa kazi,ukaapply ukaitwa kwenye interview ukapewa pesa ndogo na wewe ukajua ni ndogo basi wewe ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tunahitaji walimu wa kufundisha lugha za kimataifa (isipokuwa Kiingereza) kwenye darasa la lugha hapa Arusha. Ikiwa una uzoefu wasiliana nasi kupitia JF au tupigie simu 0786817145. Tunahitaji hasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom