Habari wana JF,
Kwanza napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunipatia kazi mwaka huu wa 2014, pili natoa shukrani zangu za dhati kwa jukwaa hili kwa kunipatia updates zote kwa miaka miwili...
habari wana jf,nimeamua kujikita katika ajira binafsi(ujasiria mali) kama kijana ili kujikwamua kimaisha hivyo naomba msaada wana jf kupata tenda ktk hotel au baa ya kuwauzia mbuzi kwa maeneo ya...
Wanajamvi, nimeitwa katika usaili na kampuni tajwa hapo juu. Kwa nafasi ya Ofisa Usambazaji hivyo kwa yeyote aliewahi fanya nao usaili/kazi kwa nafasi hiyo anaweza nisaidia maswali wanayoweza...
Habari zenu wanajamvi. Kwa anaefahamu trainings za Audit firms hua zinakuaje, yani kwa mfano mtu ni graduate ana ka'degree chake tu cha Taxation, then aka'apply job kwenye hizi audit firms, then...
We are looking for qualified University Graduates in structural engineering field.
with both siteworks and studio experience. PLS SEND CVs and TRANSCRIPTS to nabiljosh@gmail.com
Habari wana JF, ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu swala hili. Matangozo ya ajira hasa ktk taasisi za serikali yanapotolewa huwa wanasisitiza kuwa, kama unaomba nafasi ya kazi na huku umeajiriwa ktk...
If your a graduates and looking for job... Or you have been looking for job i have got a business idea and i want to partner with you just give me a call 0657088003
together we can
your welcome
I am a third year business student at the university of Arusha ,persuing with BBA IN ACCOUNTING.
I have the dreams of becoming an accountant or whoever whose tasks are related to financial...
, KINMAN ELECTRICAL & COMPUTER SERVICES COMPANY, privately owned by Mr.Robert, the company deals with
 RESIDENTIAL AND INDUSTRIAL ELECTRICAL INSTALLATION
GENERATOR INSTALLATION...
KCB is renowned for its diversity and growth in the Region is currently strengthening its support for group operations and business with the aim of maintaining Best Practice whilst also responding...
RADIO PROGRAMMES MANAGER
Background
Our client is a new Radio Station based in Njombe region . Njombe is an agriculturally rich region and has a population of more than 1.6m people according...
Habari zenu wadau,
Hawa jamaa wameniita niende kwenye usaili Wa part time IT teacher for secondary school,
Naomba kwa anayewafahamu kinagaubaga anifahamishe kuhusu interview zao
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.