Habari wana JF,
Mimi ni kijana umri miaka 23 nimemaliza Diploma ya Pharmacy mwaka juzi nahitaji connection ya kuuza DLDM au Pharmacy au kazi yeyotee maana saiv yukiangalia taaluma tutalala njaaa...
Tulichokisikia na kukiona ni muendelezo wa ujinga na umbumbu la baraza letu la mawaziri yaliyote yaliokosolewa na kurudishwakwa bajeti ya wizarani ya nishati na madini yalipita mbele ya baraza la...
Habari za humu wadau,
Naombeni ushauri juu ya hili, ndugu ni mtaalam wa ICT Programming position mtumishi wa umma amepata invitation ya kushiriki katika kutengeneza mfumo kutoka kampuni ya...
Tuna hitaji kuajiri wakili kwenye law firm dar, awe ni fresh graduate, mwanaume, umri usizidi miaka 30. Mwenye sifa hizo anaweza kuni pm.
Nawasilisha tafadhali.
Habari za sa hizi mimi ni msichana miaka 21 elimu form four na nnajua computer kidogo nshawai kufanya kazi kama cashier hotelini,Natafuta kazi yeyote kwa sasa ivi asanteni ukisikia tafadhali...
Habari wadau. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, nimemaliza chuo 2013 NIT Diploma of Logistics and Transport Management. Tafadhali kwa mwenye kuhitaji mtu wa kumwajiri, hata kama ni kazi...
Mwenye detail kuhusu majina ya konsitebo wa zima moto tafadhali tujulishane kama majina haya yametoka kwa ajiri ya usaili Ntashukuru kwa ushirikiano wenu.
Habari za wakati huu;
Wakati ukiendelea kutuma barua kuomba ajira katika sehemu mbalimbali unaweza pia kutumia elimu yako kutafuta solution ya moja ya changamoto za elimu ikiwa ni pamoja na kutoa...
"Si kuwa kumbu kumbu zote zaweza kuwa nyaraka ila nyaraka zote ni kumbukumbu."
"Taarifa au habari ina thamani kubwa sana lakini pia ni kobora la hatari inayoweza kuteketeza ndani ya muda mchache...
The rate of youth unemployment hike every year in Tanzania as many graduates remain employed ,the government of Tanzania set aside fund to empower Youths and organization including farmers.but...
Nimekuwa nikiwaza hiki kitu na sasa ningependa mnisaidie ufafanuzi kupitia mfano huu. Mara nyingi unapoomba kazi unaambiwa uweke referees. Je, ni lazima uweke referees ambao wanatoka sehemu ambazo...
Sifa za mwambaji
Awe mkazi wa Mwanza (Nyamagana / Ilemela)
Awe na elimu ya kidato cha NNE
Awe na spidi ya Ku type
Awe msichana
Umri miaka 16-24
Tuna Maombi kupitia email
Joyceissack@gmail.com...
Jubilee Insurance Company of Tanzania is a top ranking insurance company operating in Tanzania. They wish to recruit the following personnel for their head office in Dar Es Salaam.
GENERAL...
Wana jf, hv ni halali kwa mtu mwenye bachelor ya ualimu na ambaye anataka kujenga C.V kufundisha hizi shule za msingi za kiingereza maarufu kama medium primary schools?
natafuta kazi sichangui kazi, nina certificate ya business administration nipo tayar kufanya kaz yoyote na ni mtu ambae nafundishika kwaharaka nina uwezo wa kuongea kingeleza vizur. pia waweza...
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIBU MAHSUSI III - NAFASI MOJA (01) NA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI MOJA (1)
Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba inatangaza nafasi za kazi zilizotajwa kama ifuatavyo...
Husika na kichwa cha habar hapo juu.
Kuna nafasi za kazi katka grocery mpya maeneo ya sinza. malipo mazuri na ni makubaliano. Kizuri zaid kuna chumba cha kupanga ready kwa wahudumu.
Tafadhal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.