Homa Bay imekumbwa na ghasia wakati wa mkutano wa kisiasa wa Linda Mwananchi, zilizosababisha vifo vya watu wawili, wakiwemo polisi, na kujeruhiwa kwa maafisa saba wa polisi.
Mmoja wa waliofariki...
Aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameanza rasmi safari yake ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliodumisha kuondolewa kwake madarakani kupitia mchakato wa impeachment. Katika...
Baraza la Vyombo vya Habari Kenya (MCK) limetaka hatua za haraka kuchukuliwa dhidi ya watu wanaoshambulia na kutishia waandishi wa habari nchini. MCK imesema jumla ya waandishi 18 na madereva...
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro, ametangaza kuondoka katika chama cha United Democratic Alliance (UDA) na kujiunga na People’s Party of Kenya (PPK), hatua inayoongeza msisimko wa kisiasa kuelekea...
Waharakati wa Lamu wameitaka Serikali kuhakikisha wakazi wanaoweza kuathiriwa na mradi unaopendekezwa wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote wanalindwa na maslahi yao kuzingatiwa.
Waharakati...
Kulikuwa na mvutano nje ya Jogoo House, Nairobi, Jumatatu, Agosti 17, 2026, baada ya wanaharakati kuandamana wakimtaka Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, ajiuzulu.
Waandamanaji hao...
People are wondering why Mike Sonko’s new signing to Linda Mwananchi has fascinated so many people. Well, Mike Sonko is not an ordinary political player, but a political juggernaut.
His...
Picha za afisa wa polisi aliyeshambuliwa na kundi la vijana huko Homa Bay zimeibua swali ambalo tunapaswa kujiuliza kama taifa:
Je, tofauti zetu za kisiasa zimetufanya tusahau thamani ya maisha...
Matukio yaliyoshuhudiwa Homa Bay wakati wa ziara ya Linda Mwananchi mnamo Agosti 16, 2026, yanapaswa kuwa zaidi ya habari ya siku moja. Kwa mwananchi, yanapaswa kuwa kengele ya tahadhari...
Maafisa wa usalama wamewakamata watu 15 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa genge la uhalifu katika operesheni ya pamoja iliyofanyika Kaunti ya Kisumu.
Operesheni hiyo ilifuatia taarifa za kijasusi...
Baada ya msafara wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay jana, hali ya barabara katika baadhi ya maeneo ya Suba imeibua mjadala mkubwa mitandaoni.
Msafara huo ulilazimika kutumia njia mbadala zenye...
Hali ya wasiwasi imeongezeka Homa Bay huku maandalizi ya ziara ya Linda Mwananchi yakizua mvutano katika mji huo.
Wanahabari wawili wa AFP, Fred Ooko na Brian Ongoro, walishambuliwa na kundi la...
Mama wa Gideon Makau, mwenye umri wa miaka 44, amekataa matokeo ya uchunguzi wa maiti na kugoma kuchukua mwili wa mwanawe kwa ajili ya mazishi, akitaka familia ipate majibu kuhusu kilichotokea...
Kenya Rugby Union has revoked Andrew Amonde’s role as Shujaa’s strength and conditioning coach.
In a letter dated 9 August 2026, KRU cited a contract clause that bars national coaches from...
Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen, aliwaonya maafisa wa umma, wakiwemo polisi na machifu, dhidi ya kujihusisha na kauli au misemo ya kisiasa wanapokuwa kazini.
Murkomen alitoa onyo...
TODAY IN HISTORY
Moi and his henchmen killed Bishop Kipsang-Muge in a stage managed road accident at a place nowadays called Stend Muge a few yards before Omega Junction on the Eldoret Webuye...
Seneti ya Kenya pamoja na Spika wa Seneti wamekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliobaini kuwa haki ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ya kusikilizwa kwa haki ilikiukwa wakati wa...
MATHARE, NAIROBI — Wakazi wa Mathare Number 10, Mabatini Ward, pamoja na Hospital Ward, Mathare 4B, wanakabiliwa na changamoto inayofanana ya mifereji ya majitaka inayopita karibu na makazi yao...
Wabunge wameidhinisha Muswada wa Kenya Roads (Amendment) Bill, 2024, unaolenga kuanzisha njia maalum za waendesha baiskeli na watembea kwa miguu nchini.
Muswada huo, uliowasilishwa na Mbunge wa...