Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Fred Matiang’i, ameibua madai mazito kuhusu usalama wa viongozi wa upinzani na mazingira ya kisiasa nchini, akidai kuwa baadhi yao wamekuwa wakikumbwa na...
0 Reactions
1 Replies
57 Views
EACC imewakamata washukiwa tisa, wakiwemo maafisa waandamizi wa Hazina ya Kitaifa, katika uchunguzi wa madai ya ubadhirifu na utoaji wa fedha kwa njia ya udanganyifu wenye thamani ya KSh1.569...
0 Reactions
1 Replies
37 Views
Kwa miaka mitano iliyopita, mwananchi wa Kenya ameshuhudia gharama ya maisha ikibadilika kwa kasi. Kuanzia sokoni hadi kituo cha matatu, kiasi cha pesa kinachohitajika kukidhi mahitaji ya kila...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Starting from upcoming Msalato International Airport
25 Reactions
2K Replies
142K Views
Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano(NCIC) imemwita rasmi Mheshimiwa Peter Kaluma, Mbunge wa Eneo Bunge la Homa Bay Town, kufika mbele yake siku ya Jumatano, tarehe 19 Agosti 2026, kufuatia...
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Homa Bay imekumbwa na ghasia wakati wa mkutano wa kisiasa wa Linda Mwananchi, zilizosababisha vifo vya watu wawili, wakiwemo polisi, na kujeruhiwa kwa maafisa saba wa polisi. Mmoja wa waliofariki...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameanza rasmi safari yake ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliodumisha kuondolewa kwake madarakani kupitia mchakato wa impeachment. Katika...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Baraza la Vyombo vya Habari Kenya (MCK) limetaka hatua za haraka kuchukuliwa dhidi ya watu wanaoshambulia na kutishia waandishi wa habari nchini. MCK imesema jumla ya waandishi 18 na madereva...
0 Reactions
0 Replies
13 Views
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro, ametangaza kuondoka katika chama cha United Democratic Alliance (UDA) na kujiunga na People’s Party of Kenya (PPK), hatua inayoongeza msisimko wa kisiasa kuelekea...
0 Reactions
1 Replies
44 Views
Waharakati wa Lamu wameitaka Serikali kuhakikisha wakazi wanaoweza kuathiriwa na mradi unaopendekezwa wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote wanalindwa na maslahi yao kuzingatiwa. Waharakati...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Time to put things in their perspective. Ring road in Dodoma U/C https://youtu.be/rU64ZWjGhUo?si=Jpaj_cip-MYwSz_C
3 Reactions
414 Replies
19K Views
Kulikuwa na mvutano nje ya Jogoo House, Nairobi, Jumatatu, Agosti 17, 2026, baada ya wanaharakati kuandamana wakimtaka Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, ajiuzulu. Waandamanaji hao...
0 Reactions
0 Replies
47 Views
People are wondering why Mike Sonko’s new signing to Linda Mwananchi has fascinated so many people. Well, Mike Sonko is not an ordinary political player, but a political juggernaut. His...
1 Reactions
1 Replies
42 Views
Picha za afisa wa polisi aliyeshambuliwa na kundi la vijana huko Homa Bay zimeibua swali ambalo tunapaswa kujiuliza kama taifa: Je, tofauti zetu za kisiasa zimetufanya tusahau thamani ya maisha...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Matukio yaliyoshuhudiwa Homa Bay wakati wa ziara ya Linda Mwananchi mnamo Agosti 16, 2026, yanapaswa kuwa zaidi ya habari ya siku moja. Kwa mwananchi, yanapaswa kuwa kengele ya tahadhari...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Maafisa wa usalama wamewakamata watu 15 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa genge la uhalifu katika operesheni ya pamoja iliyofanyika Kaunti ya Kisumu. Operesheni hiyo ilifuatia taarifa za kijasusi...
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Baada ya msafara wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay jana, hali ya barabara katika baadhi ya maeneo ya Suba imeibua mjadala mkubwa mitandaoni. Msafara huo ulilazimika kutumia njia mbadala zenye...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Hali ya wasiwasi imeongezeka Homa Bay huku maandalizi ya ziara ya Linda Mwananchi yakizua mvutano katika mji huo. Wanahabari wawili wa AFP, Fred Ooko na Brian Ongoro, walishambuliwa na kundi la...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Mama wa Gideon Makau, mwenye umri wa miaka 44, amekataa matokeo ya uchunguzi wa maiti na kugoma kuchukua mwili wa mwanawe kwa ajili ya mazishi, akitaka familia ipate majibu kuhusu kilichotokea...
1 Reactions
8 Replies
128 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…