Jukwaa la Historia

On JF:

Naomba kufahamu au kujua Histori kijana huyu anayeonekana kuwa na nguvu katika Taifa lenye nguvu za kiuchumi kusini mwa Afrika South Afrika amekuwa akinivutia kumfahamu mwenye historia yake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shukurani kwa Ado Shaibu kwa nakala ya marejeo haya. Binafsi nafurahi kwani historia hutusaidia kufahamu yaliyopita ili kutathmini tulipo na kupambanua mustakabali wetu. Siku ya Jumamosi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu jamaa ni mwanasiasa mkongwe sana na kama ni pesa kwa kazi aliyofanya duniani basi angekuwa nazo za kumwaga mno ukiachilia mbali tu hiyo elimu yake.Lakini we tafuta popote pale huwezi...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Wewe kama raia wa Tanzania ambaye hujawahi kuwa na ndoto za kukaa chini na rais kikwete kuongea nae,siku moja ukapata bahati ya kuongea naye private ikulu kwa saa 1 ungemwambia nini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA. Leo tarehe 29 Mei, 2014 Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni amenituhumu...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari ndugu ktk JF. Mi kabira langu ni Mngoni. ninataka nirudi kwetu, A/KUSINI. sasa nauliza nifanyeje ili nirudi kwetu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini wandugu, napenda kujuzwa jina la dar es salaam lilipoanzia na nani alikuwa muasisi wa jina hilo, asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ilitokea hivi. Mwaka 1970, Nyerere aliittoa askari waende kupigana kuikomboa Msumbiji. Baadhi ya wanajeshi wakachukuliwa kutoka Zanzibar. Wakati meli ilioywahukua imekaribia kisiwa cha Chumbe...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimeweza kumtambua Babu(watano toka kushoto)na Karume(wasita toka kushoto)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana Jf na wana jukwaa kwa ujumla, katika pitapita zangu za makala za historia ya watu na mambo mbalimbali yaliyopata kutokea duniani, nilikutana na sentensi hiyo ambayo imehusishwa na tabaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Miaka ya nyuma(si zamani sana) nchi ya Ujerumani ilikua imejengwa ukuta uliokuwa ukiigawa katika pande mbili yaani Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi, na mara baada ya kujenga...
3 Reactions
12 Replies
6K Views
Mkurugenzi wa Mtendaji wa zamani wa Benki ya NBC Bw.Lawrence Mafuru ameshinda kwa kura nyingi nafasi ya kuwa mjumbe huru wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Pamoja nae Waziri Mkuu mstaafu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii nimeitoa Wikipedia, Mavita aliyoanzisha Mlm.Nyerere! List of wars involving Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
What about the Lady Hope story? Did Darwin repent of his evolution views and become Christian on his deathbed? "What shall I speak about?" I asked. "Christ Jesus!" Charles Darwin replied in a...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani kwa wachagaa waliokuwepo moshi hebu mtukumbushe vita ya ukoo kati ya wachaga wa wamachame na wachaga kibosho.....kipindi hiko nasikia wachaga wa kibosho walikuwa wanajiita wayahudi na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kariu kwenye ukurasa wa maswali na majibu kuhusu Kitabu cha 'The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The Untold Story of the Muslim Struggles Against British Colonialism in...
3 Reactions
195 Replies
26K Views
Binafsi nilipata mshawasha wa kusoma kitabu hiki baada ya kuelezwa kwamba Mtei amezungumzia pia mgongano wake wa kifikra na Mwalim Nyerere uliosababisha kujiuzulu kwake nafasi ya Uwaziri wa...
4 Reactions
48 Replies
10K Views
Wana JF, Katika kipindi cha uongozi wa Nyerere nilikuwa sijazaliwa kwa hio nimesikia kupita watu mbalimbali kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa hampenid kabisa Malechela na ilifika kipindi cha uchaguzi...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Ndugu Msomaji, Fuatilia hapa In Sha Allah tutajitahidi kuweka mambo yanayosibu nchi yetu toka tupate uhuru mwaka 1961... Ninaandika kitabu kuhusu siasa za Tanzania na jinsi dini inavyotawala...
5 Reactions
110 Replies
11K Views
WAKATI Tanganyika inapata uhuru mwaka 1961 Mwalimu Nyerere alitangaza vita dhidi ya maadui watatu yaani Ujinga, Maradhi, na Umaskini. Hawa ni maadui ambao kwa wakati ule Mwalimu Nyerere aliwaita...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…