Jukwaa la Historia

On JF:

Due to the nature of the Transatlantic Slave Trade and the practices of American slave owners, enslaved Africans brought to the U.S. lost much of their connection to the West African cultures from...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Burundi nchi ndogo iliopo katika Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu...
3 Reactions
32 Replies
22K Views
Na , Mwanshinga Jr. Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa. Kwanza tuangalie nini au chanzo cha neno Safwa...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
KWENYE PICHA Kwenye picha hii kuna watu Wanne. Hao wanaume Weusi Mmoja ni Susi Na mwingine ni Chuma Wakiwa Nchini Uingereza Kwenye Mazishi. Chuma na Susi ndio Waafrika Pekee waliobeba Mwili wa...
1 Reactions
1 Replies
931 Views
JULIUS NYERERE ALIPOSIMAMA JUKWAANI KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1955 Nimezungumza na Maggid Mjengwa kuhusu historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama ilivyoandikwa. Hebu...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
PICHA MBILI ZA WAASISI 17 WA TANU MWAKA WA 1954 Kuna picha mbili za waasisi 17 wa chama cha TANU tarehe 17 Julai 1954. Picha ya kwanza ambao hawaonekani katika picha ni ni Ally Sykes, Tewa Said...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Historia imehukumu.ikiwa imepita miaka takribani 16 hivi! WAZEE ,KINA MAMA NA VIJANA,WAMKUMBUKA NALAILA KIULA JIMBONI IRAMBA MAGHARIBI. Wewe kijana sijui kama ulikuwa umezaliwa,tulikuwa na...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
hebu tujadili hili kidogo kwanini nchi nyingi za kiafrika kiongozi akishapewa mamlaka makubwa anajikuta yeye ndio ana akili nyingi na uelewa mpana kuliko yoyote je hiyi hali inatokana na nini? na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzee Popo au Baba Popo wa Isevya Mtaa wa Kanoni ndiyo babu yangu mzaa baba. Jina lake ni Salum Abdallah ingawa jina lake alilopewa na baba yake ni Rashid. Alibadilisha jina baada ya kufungwa kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Makala: Haile Selassie, ‘Masiha’ Aliyeuawa na Kutupwa Chooni, Kutukuzwa na Kupingwa 6 hours ago [https://4] Machi Mosi 1896, Kibanga alimshushia mkoloni kipigo cha mbwa koko katika ardhi ya...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hastings Kamuzu Banda Joyce Banda Wiki iliyopita nilijaribu kuwapa historia fupi ya Rais wa kwanza wa Malawi Mh Kamuzu Banda. Leo ninataka niwapitishe kidogo kwenye historia ya Joyce Banda moja...
6 Reactions
9 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza picha hii ilionekana Indiana US augost 5, 1948 ikionyesha kuna watoto wanne wamekaa mbele ya bango lenye maandishi '4 children for sale' yaani 'watoto wanne wanauzwa' na pembeni...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Bacon ni nyama iliyowekwa chumvi, mara nyingi nyama hii hutoka tumboni au mgongoni mwa nguruwe. Huliwa kama chakula cha nyongeza hasa katika kifungua kinywa Utaratibu wa kuhufadhi nyama hasa ya...
6 Reactions
21 Replies
6K Views
MOJA YA PICHA ADIMU ZA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Iko siku miaka michache iliyopita nilikwenda kumtembelea nyumbani kwake Magomeni Mikumi Kisiwani, rafiki yangu toka udogoni...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
WASIFU WA JULIUS NYERERE: COMBINED DANCING CLUB TABORA 1945 Katika Wasifu wa Julius Nyerere mwandishi kaeleza uhusiano wa Mwalimu Nyerere na Maulidi Kivuruga mmoja wa wanachama wa Combined Club...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
MASIJALA YA KITUME YA VATIKANI - Vatican Apostle Archive. Imekuwepo zaidi ya karne 3 sasa, ni KIINI cha SIRI za Kanisa KATOLIKI Duniani. Mwanzoni iliitwa MASIJALA YA SIRI ikabadilishwa jina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kabla ya Mwaka 1920 Hakukuweko na nchi ikiitwa Tanganyika Kwa kuwa chini ya utawala wa Kijerumani Tanzania Bara iliitwa Deustche Ost-Afrika, ilikuwa lazima Waingereza kutafuta jina lingine mara...
5 Reactions
41 Replies
8K Views
VIPI ILIUNDWA TANU NA NANI WALIUNDA TANU 1954? Nimeulizwa swali hilo hapo juu katika group moja. Swali nimelifanyia uhariri kidogo ili mada ikae vyema. Jibu la swali hili ni hili hapa chini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika Maisha Kuna Milima Mabonde, Na Yote Tumeumbiwa Binaadamu Hatuna Budi Kuyavuka. Kwenye Maisha Feli,Kosea, Anguka Mara 100 Ili Ufaulu Mara Moja Ben Carson Alibaguliwa Sana Kutokana Na Rangi...
4 Reactions
10 Replies
8K Views
Waliokuwepo au wanaofuatilia siasa hebu tupeni utamu zaidi nini unajua au kukumbuka kuhusu hii kitu
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…