Jukwaa la Historia

On JF:

Katika watu ambao nimekutananao na kuwakuta wana maktaba kubwa za kushangaza, nitawataja watatu wengine nitawabakisha kwa siku nyingine In Shaa Allah. Marehemu Sheikh Mohamed Ayoub wa Tanga siku...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
PICHA HIZI ZA JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA ZINASEMA MANENO ELFU MOJA Picha hizo hapo chini za majengo mawili ya Al Islamiyya fi Tanganyika zimekuwa ndani ya Maktaba kwa zaidi ya...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
MUDDYB MWANAHARAKATI MWANDISHI KIJANA ALIYE NA KALAMU INAYOSEMA Kawaida ya kalamu kama itasikika basi mlio wake ni nibu inakwaruza karatasi. Lakini si kalamu ya Muddyb. Hii "b" ambayo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo. Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina. Kwa yeyote mzalendo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sheikh Ilunga akiendesha darsa Thakafa Mwanza 2010 Sheikh Ilunga alikuja Tanga katika miaka ya katika ya 2000 na alikuwa anafanya mihadhara yake katika msikiti mmoja mdogo kwani viongozi wa...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Historia ya Tanzania ilianza na wakoloni wa Ulaya. Karne ya 18 ilikuwa na dola ndogo za miji katika mwambao baada ya kukaliwa na waarabu kutoka Oman. Ilikuwa karne 7 baadae mwaka 1499 wakati...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Historia ya Tanganyika na kwa makusudi nataka nianze na hii kwa kuwa mimeitafiti na kuandika kitabu ambacho naamini sote tunakifahamu. Umuhimu wa historia hii unasimama kwenye historia ya kudai...
1 Reactions
0 Replies
853 Views
Kijue kisa cha bwana Josef Fritzl, baba mzazi aliyemshikilia bintiye mateka kwa miaka 24, bila kuona jua wala mwanga wake, akambaka zaidi ya mara 3000 na kumzalisha watoto 7 huko nchini Austria...
16 Reactions
78 Replies
11K Views
TUTEMBEE KWENYE BARABARA YA KUMBUKUMBU KUTOKA USUKUMANI KWA CHIEF MAKWAIA MOHAMED MWANDU (1905 - 1945) HADI KARIAKOO KWA ABDULWAHID KLEIST SYKES (1924 -1968) Chief Makwaia Mohamed Mwandu ndiye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
6 Reactions
62 Replies
13K Views
Habari wadau! Tuko kwenye mjadala hapa! Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi! Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi...
5 Reactions
48 Replies
9K Views
KALAMU YA IRVING WALLACE ''THE MAN'' INAPOGEUKA JINAMIZI Huyu Irving Wallace alikuwa akiandika riwaya ambazo zina mengi ya ukweli kiasi unaweza ukachukua ''plot'' ya kitabu chake ukabandika...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
STAN LAUREL NA OLIVER HARDY Hii nimeikuta kwenye group moja. Imenirudisha nyuma zaidi ya miaka 60 utotoni. Tukiwaita hawa wachekeshaji Chale Mnene na Chale Mwembamba. Chale Mnene Oliver Hardy...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
AKILI INAPOKATAA KUAMINI UKWELI Dickens alianza kitabu chake, ''A Tale of Two Cities.'' na maneno haya: ''It was the best of times, it was the worst of times, it was the age of wisdom, it was...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ganvie ni kijiji kilichopo kwenye ziwa huko nchini Benin ambacho kiko katika Ziwa Nokoué, karibu na Cotonou. Kikiwa na idadi ya watu karibu 20,000, kikielezwa kuwa huenda kikawa ndio kijiji...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Utangulizi HISTORIA MPYA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA Utangulizi Nami nasubiri patulie In Shaa Allah nataka niandike jinsi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alivyochaguliwa...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Ndilo jina la mama mzazi wa pilot alieipiga miji ya Hiroshima na Nagasaki mwaka1945. Alipopewa heshima ya kupendekeza jina la ndege ile iitweje alichukua maka pen akaenda kuandikwa enola Gay ndio...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
TUTEMBEE KATIKA BARABARA YA KUMBUKUMBU...VINGINEVYO ITAOTA MAJANI Siasa za kikoloni zilikuwa zikibadilika na kwa hivyo zilihitaji damu changa zenye mawazo na mbinu mpya ili kuongoza harakati za...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Kabla ya wakati wetu wa kawaida, Mwaka 399BC Socrates Mgiriki alihukumiwa kunywa kikombe cha sumu aina ya Hemlock kwa kosa la kuwafundisha vijana uasi dhidi ya dini na serikali. Kimsingi hukumu...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
GUMZO LA HARITH GHASSANI: MOHAMED SAID ANAMWELEZA ABDUL SYKES KUTOKEA BURMA INFANTRY 1945, DOCKWORKERS UNION 1949 HADI TAA 1950 NA KUUNDA CHAMA CHA TANU 1954 Baada ya Kipindi Cha Kwanza...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…