Ndugu yangu wa kiume 40 yrs anapata maumivu makali sana chini ya kitovu kushoto hasa anapokaa na anapolala. Amepima figo wamesema hamna kitu, amepima mkojo na choo hamna kitu, ila ultra sound...
Jaman naombeni msaada nimepitiliza kuingia katika siku zangu sasa hivi ni siku ya saba tangu tarehe 17 mpaka leo tar 23 sijaona siku zangu, napata maumivu makali ya tumbo kama la bleed kwa...
I will be finishing a short course on becoming a Medical Interpreter. From English-Swahili. i have to realize that not many swahili words have direct translation, and in most cases you have to...
Kitendo cha MTU kutoka damu puanii ni sababu ipi inasababisha au madhara yake ni nini
Maana niko na mtu anatokwa na damuu nyingii alafu analia anajua anaweza kufaaa,
Ila watu wengine wameniambia...
Habari zenu wana jamvi?
Kuna hizi dawa walizopewa watoto mashuleni, wanazosema ni za minyoo na kichocho, Lakini baada ya watoto kupewa hizo dawa afya zao zimekuwa na matatizo.
Nyumbani naishi na...
Kwa wale wenye hako kaugonjwa tafadhali soma hii research finding (Nimeshindwa kuweka hiyo link) so nime copy na ku paste:
Masturbation 'cuts cancer risk'
Researchers were assessing...
Nina ndugu yangu mmoja anauguwa ugonjwa huu wa UKIMWI, wiki kama mbili zimepita nilimpeleka kuhudhuria clinic yake.
Tulipofika pale alipewa huduma kama inavyotakiwa lakini katika mazungumzo yao...
Mambo zenu wanajamvi,
Mimi nataka kujua, kuna hizi test za HIV, wanapima kwa kutumia vikaratasi vya kuchora lines, mfano wa pregnancy test. Ninachotaka kujua, how accurate are they? Kwa walio...
Habari wakuu,!
Naomba kuuliza kwa anayefahamu masuala ya uzazi, kwamba ni kiasi gani cha mbegu za kuime zinaweza kusababisha mimba?, nauli hivi kwa sababu girl friend wangu ameniambia ana mimba...
Hello wadau nahitaji msaada wa kitaalamu zaidi kuhusu tatizo la Mwanamke kuingia Bleed mara 2 kwa mwezi, Nina mchumba ambaye ana tatizo hilo, wakati mwingine humtokea na kuingia mara 2 na wakati...
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kamsaada kuhusu kushave pubic hairs napata complications Nyingi sana Kushave hayo maeneo na nikitoka hapo si vipele na vijipu fulani hivi vinavotoa shoo.
Lakini...
Ndoa njema hufanikiwa kukiwa kuna furaha na maelewano. Lakini mapenzi yanachanguwa sana na tendo la ndoa. Wanandoa wengi wataelewa ya kwamba tendo la ndoa linaweza kuwa haliridhishi ndo maana watu...
Men who ejaculate more regularly throughout their lives lower their risk of the disease.
if sperm is regularly cleaned out to allow new cells to develop, it helps stop the build-up of old cells...
Ili Aweze Kuacha Kupiga PUNYETO au KUPUNYETIKA Kwani Kuna Kijana Mmoja Kitaa Ameshakuwa Addicted Na PUNYETO Kiasi Kwamba Anasema Hata Akiwa ANAMKANDAMIZA Demu Huwa Hasikii MAUTAMU Ila Akitumia Tu...
Habari wadau wa JF,
Naomba kujua; Je, ni vyakula vipi kwa mwanamke anaetarajia kupata ujauzito, au mwanamke anaejiandaa kutaka kupata ujauzito, Je aweze kutumia vyakula gani au dawa gani ili...
Nina ndugu yangu mmoja anauguwa ugonjwa huu wa UKIMWI, wiki kama mbili zimepita nilimpeleka kuhudhuria clinic yake.
Tulipofika pale alipewa huduma kama inavyotakiwa lakini katika mazungumzo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.