JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Taja member wawili ambao unahisi ni Ndugu humu? Binafsi ndege JOHN na Viatu vya Samaki hawa ni ndugu wa tumbo moja kasoro tarehe tu. CC Zero IQ
11 Reactions
332 Replies
15K Views
Wakuu Huyu member ananivutia kwa kweli,mada zake,namna ya uwasilishaji wa topic zake unanivutia,ni moja ya wadada wa nguvu mno humu jukwaani Nakupenda sana Binti Sayuni03 naomba tutafutane pm...
9 Reactions
77 Replies
2K Views
Asilimia 97 ya walio tumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya hukumu, nawakumbusha kutubu ile dhambi waliyo itenda. Kama hujaelewa basi.
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Jaman tatizo langu sielew...mwenzenu toka yaanze maswala ya vyeti na mambo ya kutena mm kwangu imekuwa tofauti yani kila kisikia wakiongea habari za siasa uume wangu unasimama ni saidie jaman...yn...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kuna mda ukikaa unajikuta kama umepoteza mwelekeo,, unapoteza interest ya vitu alafu unajikuta huelewi maisha ako yanaendaje 😞
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Leteni mnazozijua nyinyi ila mimi naomba maana ya hizi nyimbo mbili. Kuna - Diamond platnumz na Kachiri - kilimanjaro Band Mashairi ya wimbo ya Diamond : Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina...
8 Reactions
210 Replies
5K Views
Mzuka wana Jamvi ? Yerereeeeeerreereerreereyere!!! Sijitaji maelezo mengi picha inajieleza , nataka maoni yako unaonaje ? Oyo : Sitaki Wadada wa Jf msinitafute PM , Mimi nipo kwenye No Fap...
15 Reactions
61 Replies
2K Views
Dah hatari kweli......!!!!!!!!!!!! Hatari na nusu....
5 Reactions
50 Replies
2K Views
CC Pascal Mayalla Mshana Jr Na ndivyo nilivyompata wangu wa moyoni FaizaFoxy
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Hakika sasa huyu jamaa ni kipenzi cha wengi.
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube. Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Ila huyu mtoto wa kishua bwana, Bill Lugano natumaini ubize wa kusafiri nchi mbali mbali umekuweka mbali na JF
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni majina gani yamekaa kiuzinzi, vicheche? Yaani ukilisikia tu unajua huyu zoazoa.
5 Reactions
362 Replies
48K Views
Kwema wakuu. Hasira ni miongoni mwa hisia tunazopatwa nazo wanadamu. Kitu gani huwa unafanya ili kupunguza au kuondoa kabisa hasira
10 Reactions
132 Replies
3K Views
Me juzi juzi tu hapa nilikua nasafiri,tumbo la kuhara likanishika ghafla..nikapaki ka mkweche kangu pembeni,nikachukua maji niliyokua nimeyanunua kwa ajili ya kunywa nikaingia kichakani...
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Hivi kunyoa kiduku ndio kunafanya mtu anakuwa mjinga au ujinga ndio unafanya mtu anyoe kiduku?
2 Reactions
8 Replies
495 Views
Evelyn Salt You comment like a dude. You post masculine. Unabishana kibabe Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish Are u a dude, stud or...
36 Reactions
219 Replies
7K Views
Wakati mwingine huwa sielewi shida ya watu wa Dar nini Kuna siku Rafiki yangu nilimwambia nakuja Dar akaniambie niletee zawadi za huko Tukuyu. Nikanunua mkungu wa Ndizi debe la Viazi na Nyanya...
21 Reactions
171 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…