Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

UN ilimaanisha Women's day iwe na wadada kama hawa nyie wengine mnaforce. Credit to CHADEMA Party
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Haya ndio Maisha harisi ya huyu mwanadada ameamua kuubadili mwili wake na kujiweka muonekano wa kivampire na ndio chaguo lake na anajiona mrembo kuliko awali
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
11 Reactions
200 Replies
61K Views
Tupia picha yeyote inayoonesha ukichakalika kazini iwe mgodini,dukani,sokoni,ukichunga mifugo,au popote pale karibunipicha: shamba la tumbaku katika moja ya kata mkoani tabora
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Tumsifu Yesu Kristo.... Bwana Yesu Afisiwe.... Tukiwa katika kipindi hiki cha kuelekea Pasaka, tuchukue muda kutafakari Mwanakondoo huyu, Sadaka na Kafara wa ulimwengu kwa ajili yetu, kwa namna...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Story ambazo huwezi kuzikosa hapa -Diamond Freemason -GSM anaharibu ligi ya bongo -Mo Hana Hela -Kiba kuimba live hajui -Yule demu nimepiga Taja Na zingine unazozijua..😂👇🏾
2 Reactions
1 Replies
258 Views
Huu ni ukubwa wa Mti wa sequoia ikilinganishwa na binadamu. 🌲 Kile ukionacho mbele yako sasa ni kiumbe hai kikubwa zaidi Duniani na jitu kubwa zaidi ndani yake.. mti mkubwa wa sequoia. Sequoia...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwenu wajuzi, hii picha imepigwa mkoa gani? Mji gani? Mtaa gani?
1 Reactions
7 Replies
826 Views
African Blackwood, mojawapo ya miti ghali na adimu zaidi duniani. Pia inajulikana kama "dhahabu nyeusi ya misitu". Rangi yake nyeusi kali na ugumu wa kipekee huifanya kuhitajika katika tasnia...
8 Reactions
9 Replies
675 Views
Mastaa walipokutana miaka ya mwanzoni mwa 2000, Mtoto wa Dandu hapo alikuwa star sana, bahati mbaya alifariki kwa ajali ya gari.
2 Reactions
3 Replies
540 Views
Japo muda wa kampeni haujafika ila CCM washaanza kum-brand mgombea wao, kitaalam imekaaje?
0 Reactions
3 Replies
494 Views
Ukikutana na watu wa namna hii basi fanya kununua kitu Hata ukiwa hauna njaa fanya kuwa sehemu ya furaha kwao. Kitaa ni kigumu sana wanandugu.
36 Reactions
85 Replies
5K Views
Muigizaji kutoka Ghana Princess Shygle, ameistua dunia kwa kufanyiwa upasuaji na kuondolewa mbavu zake tano pamoja na utumbo ili kupata umbo namba 8 kwa ajili ya kuvutia wanaume. Sent using...
1 Reactions
104 Replies
19K Views
Twende kazi unahisi wanapiga story gani hapa?
4 Reactions
30 Replies
1K Views
These are pictures that shows how nature can be scary 😨 really scary! That's a happy meal A large appetite for large meal In your head 😃 hope Mohombi is proud 👏 Kasongo becomes a meal A...
3 Reactions
4 Replies
452 Views
Hii ni picha ya Jean Claude Van Damme akiwa na Bolo Yeung. Hapo wakiwa katika movie ya bloodsport ya mwaka 1988 na picha ya nyingine walipokutana mwaka huu 2025 takribani miaka 37 baadae. Ama...
12 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom