Hii nayo ni tawi la sanaa danganyifu ya macho yenye kuakisi uhalisia ambao haupo.. Ni aina ya sanaa ya uchoraji ama upakaji rangi pande tatu (three dimensions)
Hii sanaa huweza kuifanyia michezo...
Ni ubunifu nzuri rahisi na wa aina yake wenye faida nzuri sana.. Ya an I bunda moja la vibiriti 12 la shilingi 500 linaweza kukupa faida mpaka ya laki kutokana na ubunifu utaofanya
Tatizo la huu...
Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga