Tajiri namba moja Duniani bwana Elon Musk anatabiriwa kua Trilionea wa kwanza Duniani mwaka 2027 kama utajiri wake utaendelea kukua kwa mwenendo unaokua kwa sasa.
Elon Musk utajiri wake...
Hali ya mvutano inaendelea nchini Chad baada ya vyama vya upinzani kutaka kumalizika kwa haraka kwa serikali ya mpito nchini humo na kufutwa kwa uchaguzi mkuu uliofanyika Desemba 29.
Kwa mujibu...
Ni kweli marekani imesababisha maafa na hasara katika angle mbalimbali za dunia na wote tunajua lakini pia kila nchi ina mazuri na mabaya yake hili hakuna wa kupinga
Sasa leo tuwape maua yao...
Hahaha wakuu ogopeni sana mitandao ile connection imezidi kugharimu ndoa za wakubwa serikalini guinea humo ndani
Hii ni video inayoonyesha Mume aliyechapiwa na anasikitika sana maana alikuwa...
Anayedaiwa kumiliki na kuendesha tovuti haramu ya kusambaza filamu maarufu ‘FMovies’ mapema mwezi uliopita alitambulishwa baada ya kukamatwa na Polisi wa Mji wa Hanoi nchini Vietnam kufuatia...
Wadau hamjamboni nyote?
Msako magaidi duniani kote unaendelea
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
December 31, 2024
France says it carried out missile strikes against Islamic State in...
Utekaji uliofanywa Oktoba 7 2023 ni njama za natanyahu kuiangamiza palestina.Hebu tujiulize maswali haya:
1.Hivi inaingia akililini kweli kwamba jeshi la mwamba natanyahau,tena likisaidiwa na...
Jumamosi ya leo siku kama ya leo mwaka 1976 Makomandoo wa kiisrael walishuka paple Uganda Entebe air port kuokoa ndugu zao. Makomandoo hao waliongozwa na kija a Jonathan Netanyahu akiwa na...
Wadau hamjamboni nyote?
Tumuombee mwamba Mungu amfanyie wepesi alone arudi kuongoza mapambano dhidi ya magaidi
Mungu ibariki nyumba ya Yakobo
PM to be hospitalized for several days for prostate...
What a surprise!?!?
Al-Jawlani, Head of HTS That Overthrew Syria President, is Jewish . . .
Hal Turner World December 29, 2024
What a surprise!?!?! The Head of HTS, a.k.a. "ISIS," a.k.a. "Al...
Huko Msumbiji wanatarajia kufanya uchaguzi Mkuu tarehe 09 Oktoba 2024. Huku Mgombea wa FRELIMO Komredi Daniel Chapo (47) akitarajia kushinda kwa kishindo. Maana huko Msumbiji Upinzaji upo taabani...
Wadau hamjamboni nyote?
Mazungumzo juu ya kuachiliwa yanaendelea kati ya Israel na Hamas
Makubaliano yakifikiwa na mateka kuachiliwa Israel itaendelea na vita dhidi ya magaidi ya Hamas hadi...
Wadau hamjamboni nyote?
Amewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani, Spika wa bunge la Knesset na amewahi kuongoza kikosi maalumu cha askari wenye weledi mkubwa almaarufu Unit 8200
Amezaliwa 22 Juni...
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Tumsifu Yesu Kristo
Bwana Yesu asifiwe
Shaloom
Komandoo mwamba kiboko ya magaidi yupo salama kabisa wodini
Operesheni imekwenda vizuri na muda huu amepumzika wodini...
Mtoto wa senator wa north dacota, Ian crammer amehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela baada ya kukutwa na hatia ya kuendesha gari kwa spidi kubwa iliosababisha ajali na kuua mtu mmoja wa miaka 53...
Huyu bwana Netanyahu amekuwa alifanya maamuzi mabaya bila shaka ni Kutokana na Kuzorota Kwa Hali yake ya kiafya kiasi kwamba amekata tamaa ya maisha hivyo kupelekea kufanya maamuzi yanayoleta...
Amani kwenu wana jukwaa
Nchini Morocco kumetungwa Sheria mpya ya NDOA ambayo kwa waislam weusi wa TANZANIA wanadai inakinzana na utamadun wa kiarabu yaan wa kiislamu
Bunge la Morocco limepiga...
Former US President Jimmy Carter has died aged 100, the centre he founded has confirmed.
The former peanut farmer lived longer than any president in history and celebrated his 100th birthday in...
Madaraka matamu sana usione Chairman anatoana kamasi na kibaraka wa Wazungu unadhani wanatania 🤣🤣🤣👇👇
Mikheil Kavelashvili ambaye ni Rais mteule wa Georgia ameapishwa leo kuanza kulitumikia...