The Living Fact.....Quoted from Kumbukumbu za Mwalimu Nyerere “bila CCM imara nchi itayumba "
Kuna mkereketwa mmoja wa chadema nimemuuliza ni nini maoni yake juu ya mwenendo wa wanasiasa wa...
Kijiji kizima kuwekwa Mahabusu, Albert Chalamaila Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwaweka ndani wanakijiji cha Ngole kwa kosa la kuharibu mradi wa maji wa kijiji...
Dar es Salaam. Kamati Kuu maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imewateua Julius Kalanga na Mwita Waitara kuwa wagombea ubunge katika majimbo walikojiuzulu.
Katika kikao kilichofanyika leo...
Moja ya sababu ya Julius Mtatiro mmoja wa vijana waliokuwa wakihoji kutaka maendeleo ya haraka ya Tanzania kuhama upinzani leo ni sababu inayofikirisha sana.
Ni sababu inayosadifu mwelekeo wa...
Kuna tetesi kuwa mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa ni miongoni mwa walioonyesha njia ya kugombea ubunge jimbo la Monduli kwa tiketi ya Chadema.
Hata hivyo, Akizungumza na MCL Digital leo...
MAISHA HAYA WAKATI MWINGINE UKIFIKIRIA: HAKUNA HAJA YA KUGOMBANA NI KUJIWEKEA UADUI, CHUKI na watu n.k kwa MAANA sote tutapita, Mali na DUNIA ITABAKI!
Ni heri kuishi kwa upendo ili kuacha legacy...
Ndiio,, the total lunar eclipse (kupatwa kwa mwezi) huko kutadumu kwa muda wa lisaa limoja na dakika 43 usiku wa leo (mishale ya saa 21:21 EAT).
Ukiachilia Africa, tukio hilo litaonekana katika...
Jeshi la Israeli limeidungua ndege vita ya Syria baada ya kuvuka mpaka na kuingia ndani ya Israel.
Ndege hiyo aina ya Sukhoi iliyotengenezwa Urusi ilidunguliwa baada ya kuvuka mpaka wa Syria na...
Idadi ya viti vya madiwani 30 wote wanatoka chama cha mapinduzi ccm wamepita bila kupingwa,
Ni kwamba ccm imekubalika sana au wapinzani wamekua wajinga kukosea kujaza form au wamejikosesha makusudi?
washtakiwa watano katika kesi ya kumuua kwa kukusudia mfanyabiashara wa madini Erasto Msuya wamehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Moshi adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa...
A senior United States politician has filed a motion calling on President Donald Trump to raise his voice on what he says is the reversal of democratic gains in Tanzania.
Mr Bob Menendez , a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.