Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kuna Madereva wa serikali wapo rafu sana barabarani. Hivi hakuna sheria ya kuwadhibiti ? Inatakiwa iwekwe sheria ya kuwajibishwa na askari wa barabarani/traffic police. Kama haujawahi kuendesha...
10 Reactions
31 Replies
234 Views
Tafadhali husika na kichwa cha uzi huu. NSSF Wamekuja na mbinu mpya zifuatazo ili kuhakikisha wanufaika hawapati hela zao: Hawajatangaza mahali popote kwamba fao la Kujitoa limerejeshwa licha ya...
16 Reactions
79 Replies
1K Views
Huku mitaani kuna watu wananunua unit za umeme takribani sh. 350 kwa unit 1, na wengine bei ipo chini zaidi kwa unit 1. TANESCO, Naomba kujua tofauti hizi za bei zinatokana na nini...
7 Reactions
62 Replies
2K Views
Anonymous
Wana JF, kumekuwa na kipeperushi hiki kinasambaa mitandaoni na kwenye magazeti (kama inavyoonekana hapo chini) kikionesha tangazo la mnada wa hadhara wa mali za kampuni kongwe ya uchapishaji...
8 Reactions
31 Replies
557 Views
Ushauri uliotolewa kwamba bandari kavu ziondolewe katikati ya Dar es Salaam na shughuli za kuhifadhi pamoja na kusambaza mizigo zielekezwe zaidi katika Bandari Kavu ya Kwala, mkoani Pwani...
2 Reactions
1 Replies
99 Views
Wananzengo kama jina la uzi wetu unavyojieleza hapo juu. Geographia ya mkoa wa Pwani kuingiliana na mkoa wa Dar es salaam, pia kutanuka kwa miji na uwingi wa watu. Hii imepelekea baadhi ya maeneo...
2 Reactions
2 Replies
126 Views
Kulingana na ufaulu wa kidato cha sita kuendelea kupanda na kuwa juu kadri miaka inavyozidi.Ni muda muafaka sasa mamlaka husika zikafanya jitihada za kimakusudi kutanua wigo wa masomo ya kozi za...
2 Reactions
13 Replies
283 Views
Maoni Habari za leo wadau, Sera mpya iliopitishwa na Bunge letu Mwaka wa Fedha 2026 - 2027, ITAFELI kwa sababu 1. Miamala ya Fedha Tanzania inagharimu watanzania 10% kwa miamala midogo na zaidi...
12 Reactions
32 Replies
490 Views
Wakuu nadhani wengi mmeiona hiyo clip inayozagaa huko mitandaoni, ikionesha vyombo vya dola vikishirikiana na mamlaka ya kudhibiti vyakula na Dawa nchini Rwanda (FDA) kakita opareshi maalum ya...
9 Reactions
23 Replies
415 Views
https://www.youtube.com/watch?v=srhE7f5o9d0 Mkandarasi Owden Mwalyambi wa kampuni ya Ujenzi ya Ruhama Tripple Three Junior Engineering iliyejenga barabara ya Kawajense - Ugala - Mnyamasi iliyopo...
1 Reactions
8 Replies
176 Views
Anonymous
Salama wanajamvii. Sasa leo tutaje barabara zenye kero Mimi naanza na Barabara ya BABATI -SINGIDA anzia Daredaa ile barabara inatuchelewesha sana barabarani ni mbivu ni kama rafu road...
3 Reactions
2 Replies
73 Views
Anonymous
KILO MOJA YA NYAMA INAWEZA KUWA KILO MOJA KWENYE MIZANI, LAKINI SIYO KWENYE UZITO HALISI? Kuna jambo nimeanza kulifikiria sana kuhusu biashara ya nyama jijini Dar es Salaam. Sijafanya utafiti...
3 Reactions
6 Replies
114 Views
Sioni haja ya kila kampuni ya mabasi iwe na kituo chake cha kushushia abiria, inatosha wakiishia kituo kikubwa cha mabasi Mbezi Magufuli itasaidia kupunguza msongamano ktk mji na pia stendi ya...
7 Reactions
260 Replies
3K Views
  • Featured
Nimeona hawa watangazaji wa Wasafi wakigusia kuhusu Daraja la Mwalimu Nyerere na kuhoji deni la ujenzi litaisha lini, kwa maana ya tozo zinazokusanywa kila siku, sasa ni lini deni la ujenzi wa...
13 Reactions
61 Replies
2K Views
Anonymous
Takribani miaka 10 iliyopita, Watanzania walishuhudia moja ya operesheni kubwa za ubomoaji wa makazi na biashara zilizokuwa kandokando ya Barabara ya Morogoro, maarufu kama Morogoro Road. Kuanzia...
4 Reactions
4 Replies
222 Views
Naomba ushauri na kueleweshwa kutoka kwenu wana-JamiiForums wenye uzoefu au uelewa wa masuala ya umeme ukinunua nguzo (TANESCO). Ninaishi Katoro eneo ambalo naishi kwa muda mrefu halikuwa na...
10 Reactions
84 Replies
2K Views
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu ugumu wa kupata nafasi ya kuwasilisha maombi ya Visa ya China nchini Tanzania. Watu wengi huilaumu Ubalozi wa China, lakini kwa mtazamo wangu, tatizo kubwa si...
13 Reactions
15 Replies
329 Views
Kiukweli kati ya mambo yanayonikera na nayoyaona ni wizi wa wazi au tozo ambazo ni kero ni huu unaoitwa Ushuru wa stendi. Logic ya hii tozo ni nini ikiwa abiria anaenda kusafiri na Haingizi Pesa...
6 Reactions
51 Replies
700 Views
Wamiliki wa magari wakisubiri kuongia Ofisi ya Usalama Barabarani Kituo cha Polisi Kawe. *** Serikali, kupitia Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, ilitoa siku 21 kwa wamiliki wa vyombo vya...
0 Reactions
2 Replies
294 Views
Katika mambo yanayoshangaza sana nchini ni ubutu wa Tume ya Ushindani wa Kibiashara nchini (Fair Competition Commission, FCC). Kuna mambo mengi sana nchini yanafanywa na wafanyabiashara kwa...
3 Reactions
14 Replies
258 Views
Back
Top Bottom