Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Magaidi wa IRGC sasa wachague kati ya kukaa na rubani waliyemteka au wamuachie huru. https://www.instagram.com/p/DWtuFn-DnnS/?igsh=c3NoNmVhNmlmcjZt
2 Reactions
81 Replies
917 Views
Maisha magumu nimeona niingie kwenye game la Music. Kionjo cha wimbo wangu hapa, mnipe rate kati ya 1 hadi 5! Nimemshirikisha ndugu yetu mpendwa Google Gemini 😆
8 Reactions
10 Replies
76 Views
Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan Afisa wa ngazi ya juu wa Iran alisema Tehran haitafungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kwa...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Jaribu kuwaza tu, umesomesha mchumba chuo, washkaji na ndugu walikukataza..maneno ya mtandaoni na ya wahenga yanayoonya kuwa mchumba hasomeshwi, uliyaona ni upuuzi tu.. ukaweka akili na moyo kwa...
0 Reactions
8 Replies
50 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
13K Replies
192K Views
niliandika hivi: Huu uzi mwanamke yeyoye asisome kwasababu haumhusu ( mwanamke yeyote akisoma ataota kipara ) wakaubadilisha wakaandika: Jinsi ya kumtongoza mwanamke wameharibu vitu vingi...
0 Reactions
2 Replies
8 Views
Huku na kule duniani, nderemo, vifijo, shangwe na milio ya nyimbo za sifa vinasikika! Mioyo ya watu imejaa shukrani, na machozi ya furaha yanatiririka kwa kumbukumbu ya ushindi wa Mfalme wa...
8 Reactions
34 Replies
291 Views
Kichwa cha Uzi: Jinsi ya kutongoza wanawake ( mbinu za ndani sana hakuna mwanamke atakataa ) kabla ya kuanza kuandika na kushusha nondo naomba radhi kwakua siku za karibuni sikwepo sana online...
4 Reactions
25 Replies
188 Views
Niaje waungwana Naona Netanyahu kawekwa mtu kati 🤣🤣🤣🤣 Akienda mbele nchale ( Iran ) Akirudi nyuma nchale ( Hezbollah ) Akikaa nchale ( Houthis ) Muona mbali, na mjuzi wa mambo ya vita...
8 Reactions
25 Replies
704 Views
Magufuli kaanzisha baadhi ya miradi na pengine kwa nia njema lakin anatumia nguvu sana kutafta hela kwa njia yeyote hasa kuwakamua watanzania ili hela ipatikane apate kutimiza miradi hiyo Sehem...
18 Reactions
112 Replies
13K Views

FORUM STATS

Threads
2,049,977
Posts
55,198,564
Back
Top Bottom