Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ninaamini katika Mungu wa chanzo na balance ya uwepo huu duniani na beyond ila siamini katika idea ya Mungu iliotangazwa karne na karne maana imekuwa twisted na mis-interpreted Idea ya Mungu...
6 Reactions
16 Replies
133 Views
Kesi ipo mahakamani https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mtumiaji-wa-jamiiforums-afungua-kesi-kupinga-tcra-kuifungia-siku-90-5413756
1 Reactions
1 Replies
7 Views
Niaje waungwana Naona Netanyahu kawekwa mtu kati 🤣🤣🤣🤣 Akienda mbele nchale ( Iran ) Akirudi nyuma nchale ( Hezbollah ) Akikaa nchale ( Houthis ) Muona mbali, na mjuzi wa mambo ya vita...
8 Reactions
24 Replies
653 Views
Anonymous
KERO 
Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi...
3 Reactions
26 Replies
190 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
13K Replies
190K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
305 Reactions
177K Replies
6M Views
Huku na kule duniani, nderemo, vifijo, shangwe na milio ya nyimbo za sifa vinasikika! Mioyo ya watu imejaa shukrani, na machozi ya furaha yanatiririka kwa kumbukumbu ya ushindi wa Mfalme wa...
7 Reactions
24 Replies
189 Views
Anonymous
KERO 
JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS –...
2 Reactions
12 Replies
256 Views
Mashariki ya Kati ina karibu nusu ya akiba yote ya mafuta ya duniani. Lakini kwa nini? Siri ya utajiri mkubwa wa nishati katika eneo la Middle East ipo katika historia yake ya kale sana ya...
0 Reactions
4 Replies
116 Views
Ukiangalia namna ya mambo yalivyotokea ile Oktoba 29 mwaka 2025 ni wazi kuwa hii serikali iliyopo madarakani haikuchaguliwa na wananchi. Haipo madarakani kwa mujibu wa ibara ya 8(1)(a) ya katiba...
1 Reactions
0 Replies
23 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,873
Posts
55,196,013
Back
Top Bottom