Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
312 Reactions
183K Replies
7M Views
Wakuu salamu, Leo naomba tujiambie ukweli mchungu ambao wengi watauchukia, lakini ndio ukweli halisi. Kama wewe ni mwanaume au mwanamke unayeendekeza uzinzi na ngono zembe, sahau kabisa habari ya...
3 Reactions
15 Replies
69 Views
ni stress kwa kweli... late night calls maana ndo katoka kwenye mambo yao a lot of dmss za mabinti duhh am going to ruin this tooo... siwezi kwa kweli how unaweza dili na mtu wa namna hii
0 Reactions
3 Replies
9 Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema, amemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika kueleza ukweli kuhusu...
3 Reactions
18 Replies
183 Views
. 🔮 1. Merlin — mchawi maarufu wa Ulaya Merlin ni mmoja wa wachawi maarufu zaidi katika fasihi ya Ulaya, hasa katika hadithi za King Arthur. Anasimuliwa kuwa: Alikuwa mshauri wa King...
1 Reactions
11 Replies
49 Views
Ng'wanakapolo tafsiri yake ni mtoto wa Kapolo. Kapolo ni muhogo usio na uchangu, muhogo mtamu. Miaka ya 1970s hadi 2000 jina hilo lilivuma sana kwenye mji wa Magu uliopo mkoani Mwanza. Hata kama...
37 Reactions
175 Replies
24K Views
Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi. Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu...
6 Reactions
16 Replies
268 Views
🍷 Red wine – ina polyphenols kama resveratrol. 🍷 White wine – ina baadhi ya antioxidants, ingawa kwa kawaida si nyingi kama red wine. 🍺 Beer – ina baadhi ya vitamini B na polyphenols, lakini pia...
3 Reactions
14 Replies
94 Views
Nimekuwa nikitumia power tiller kwa muda wa miaka miwili sasa. Nimeona mafanikio makubwa sana kwa sisi vijana na hasa tunaopenda kilimo cha mpunga. Hata hivyo, nimeamua kuiuza baada ya kukosa...
0 Reactions
0 Replies
5 Views
Wakuu najua ajira ni ngumu sana. Ila walau ushauri kwa wajuvi, penye nafuu kiajira baada ya kuhitimu. nina dogo matokeo yake ni one ya sita PCM, aende. Civil Mechanical Electtical Mineral Data...
9 Reactions
134 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
2,081,601
Posts
55,967,174
Back
Top Bottom