Mtu mweusi anajifanya mjuaji na mwenye akili nyingi huku kwa uhalisia ni kinyume chake.
Mtu mwenye akili ndogo au tahira Ishara yake kubwa ni kuendeshwa kwa mihemko na misisimko kuliko fact.
Mtu...
Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake,
Anapenda...
Huwa inaanza vizuri tu unapojiwekea msimamo hutaki kuoa ukiwa kwenye 20s lakini joto huanza kupanda ukishafika 35+
Unaanza kupewa taarifa au kupata mialiko kwamba yule mtoto wa mjomba aliekuwa...
Wakuu,
Narudia tena watz bado tupo fo fo fo
Hivi karibuni niliamua nikazuru boda nikacheki maana sijawai toka nje ya nchi.
Nikaamua kwene Border ya kenya na Tz.
Nililala sirari aisee pale ni...
Urusi imevuka kibabe vizuizi na kuvunja vikwazo vya Marekani hatimae Leo meli ya mafuta ghafi ya Urusi imefika Cuba.
Marekani kama kawaida yake kwa roho mbaya yake iliiwekea Cuba vikwazo vya...
Jamani naomba kuuliza wajuz wa mambo mnaofahamu juu ya hili jambo
Tumeambiwa uganda anachimba mafuta na tunachimba bomba toka huko had tanga kwa ajil ya mafuta hayo
Wakat huu tulionao hawez...
Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona...
Katika vitu ambavyo havikuzingatiwa mwanzoni na vimekuja kwa mshtuko ukiondoa mlango wa Hormuz ni kuwa Iran imepakana na mataifa kadhaa ambayo yote yamewahi kupata madhara na ubabe wa Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.