Mimi nipo hapa napunguza stress za dunia
Kulia ina ruhusiwa ila usikate tamaa maisha hayajawai kuwa mepesi ata kwa matajiri kaza moyo
All in all sita wafundisha vyote sawa 😄
Happy Easter Day...
Ilikua siku ya ijumaa, majira ya saa sita mchana nikiwa maeneo ya kilimahewa bondeni, kuna mteja wangu wa sabuni aliniagiza nimpelekee kwake nikiwa getini alitoka nikampatia mzigo wake akanipa...
Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake...
Katika vitu ambavyo havikuzingatiwa mwanzoni na vimekuja kwa mshtuko ukiondoa mlango wa Hormuz ni kuwa Iran imepakana na mataifa kadhaa ambayo yote yamewahi kupata madhara na ubabe wa Marekani...
Superchawas mna mengi ya kujifunza kwenye utawala wa Donald Trump. Kujaribu kumridhisha Ibilisi is a mission impossible.
Kristi Noem na Pam Bondi ni superchawas ambao walikuwa willing kuvunja...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Sex ni kuburudisho kikubwa kwa mwanaume lakini ni tendo lenye majukumu mengi sana,
Unapokuwa na girlfriend kuna vizinga
Unapompa mimba umeshatengeneza majukumu ya muda mrefu sana kwa mtoto na...
Mahoteli ni matupuuu,hata zile budget hostels. Utalii unayoyoma kwa kasi aisee.
Uchumi wa Zanzibar ni utalii naa utalii wa Zanzibar umeshambuliwa na Serikali na global instability especially...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.