Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imefanya nchi kuwa maskini toka tupate uhuru kutoka kwa mkoloni.hadi sasa ni umaskin tuh hatuna cha maana ni upuuzi tuh. Uganda, Kenya ipo mbele yetu...
0 Reactions
4 Replies
6 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
313 Reactions
184K Replies
7M Views
Sikuwai kujua kwamba hawa watu ni wadini vibaya mno Zitto Kabwe na Fartuma Karume hawa kipindi cha Magufuli walikua wanamidomo kelele kila siku kumbe takataka tu uzuri ni kwamba sisi...
4 Reactions
11 Replies
62 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana Kuna mtanzania anaishi nchini Uholanzi (Rottardam au Amsterdam) anaendesha genge la uhalifu mbalimbali na ukwepaji wa kodi. Government officers kimyaa. Makosa yake ni...
0 Reactions
6 Replies
96 Views
Hivi udhaifu ni kile kitu ambacho tayari unakifahamu kuhusu wewe mwenyewe ? Mfano, mtu anajua kwamba ana tabia fulani ambayo inajirudia kila siku na kila mara tabia hiyo inamuangusha au...
1 Reactions
4 Replies
25 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Ismail Jussa, amewashukia baadhi ya wanasiasa wanaokosoa mfumo wa Muungano na uwepo wa Rais kutoka Zanzibar, akisema wameanza kukumbuka "Utanganyika" wao...
9 Reactions
60 Replies
672 Views
Anasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap! With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa
9 Reactions
37 Replies
980 Views
Yesu alisema hata kama hamniamini basi niaminini kwa kazi mnazoziona. Kumbe wazanzibar ni wamoja na wameshikana kindakindaki na ajenda yao ambayo huenda Mama amepanga kuwapatia kama tunu na...
3 Reactions
9 Replies
187 Views
Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby, amesema taarifa zinazodai kuwa Deo Ndejembi anatoka upande fulani hazina msingi, akieleza kuwa Ndejembi ni Mgogo, huku mama yake akiwa anatoka Kilimanjaro...
7 Reactions
61 Replies
934 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,709
Posts
56,049,480
Back
Top Bottom