Wakuu,
Jana Chivayo alikuwa mjini, na kwenda kusalimia Ikulu kulingana na picha pamoja na melezo aliyoweka.
Safari hii amepewa na maelezo ya kuandika kwenye caption. Unadhani ni mazungumzo gani...
Wanaukumbi.
🇺🇸🇮🇷 Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka kwenye makampuni hayo ifikapo saa nane mchana kwa saa za Tehran siku ya...
CHADEMA imeguswa na viongozi wake !
Polisi wamezungumziwa kwa uchache sana kana kwamba hawahusiki na mauaji,
Na uongo Mwingine ni kwamba walio uwa watanzania walikodiwa kutoka nje si Polisi wa...
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Sex ni kuburudisho kikubwa kwa mwanaume lakini ni tendo lenye majukumu mengi sana.
Unapokuwa na girlfriend umeshajiingiza kwenye mtego wa kumhudumia, utalalamika vizinga lakini unajua fika hilo...
Kusema kweli Tanzania tuna safari ndefu kwenye miundombinu
Tanzania ukiachana na main roads, barabara nyingi bado ni za vumbi especially mitaani wanakokaa watu. Hata miji mikubwa kama Mwanza na...
Jana usiku nilikuwa macho saa 7 nikitazama launch ya Artemis 2 live. Kwa wale hawajui, hii ni mission ya NASA itakayozunguka mwezi ndani ya siku 10 tu. Nilikuwa nasherehekea moyoni, nikijivunia...
Jumanne, Machi 31, 2026, mnamo saa 3:23 usiku (9:23 PM)
“Ndugu zangu, wananchi wa Israel, katika mkesha wa Sikukuu ya Uhuru, Israel iko imara kuliko wakati wowote. Dunia nzima inasikia sauti yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.