mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,054
- 5,432
kwani kilichomkosanisha na hao wakuu si kuutaga uenyekiti, au kugombea urais?? we unadhani dr. slaa ataacha kipaji chake cha kugombea kwa zito?? thubutu?? au mbowe asiwe mwenyekiti?? nani kasema. Kama kweli mnania zito arudi mpeni nafasi ya kuwa mwenyekiti japo kwa wiki moja tu.
Hilo yai liko wapi?