TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
Mh... maneno makali haya, cha kusikitisha zaidi ni yeye mwenyewe kwenda kuripoti kwa watu walewale wanaotaka kumkaribisha kwenye sherehe ya kafaraKaka umeuliza swali lako kama vile hauamini au haiwezi ikatokea mafia wakafanya vitu vyao
At a glance CCM they may be planning this to confuse chadema. Politically CCM wanaweza wakamuua (kwani wana shida gani) na wakawasingizia akina Mbowe na Slaa na chama kuyumba, it happened kwa chacha mkuu! Zitto swala la kuuawa halijaanza leo, ajali ya Mbatia inahisiwa alikuwa anatafutwa Zitto! Kwani yale maziwa ya sumu aliyokunywa mwanza enzi za Chifupa si alikuwa anatafutwa yeye?
Unasema CCM huwa hawaui, kama waliweza kumuaa muasisi wa chama chao washindwe kwa Zitto? wanaopanga ni wenyewe na wanaosema ni wenyewe iki-leak ndiyo tunaanza kutafutana. Ukiwa kwenye game utajua kuwa si ajabu! ila ukiwa kwenye keyboard na kuona wavaa suti kwenye magari ya voyoyozi basi utaona kabisa kuwa wote ni wacha Mungu!
CCM iko pabaya sana ndani na kwa medani ya kimataifa na CDM ni threat kwao, politically YES it is possible, kidini is impossible, kibinadamu is impossible, kama uko kidini na kibinadamu halikuingii akilini, kama unaamini CCM ni system, ni mafia then is possible next victim might be YOU!
To be honest nasikitika sana jinsi kijana mdogo alivyodhani maskio yanapita kichwa... najua members wengi mnanishangaa kwanini nimembadilikia sana huyu jamaa wakati nilikua mstari wa mbele kutetea his intelligent arse; Ukweli ni kwamba he has gone too far akitafuta fame
Anazema anataka kubadili mfumo wa siasa za nchi (hii alisema omarilyas), poor him, huwezi badili usukani wala gia kwa kuwa abiria au utingo ten ukiwa kwenye cabin
his super confidence is digging a well decorated grave for himself