remon
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 295
- 48
Huyu jamaa anaitwa Zitto ni mtu ambaye nilikuwa na mkubali sana kutoka na siasa zake, ila baada ya kugundua kuwa huyu jamaa ni Mnafiki na Mchumia tumbo Ahaaaaa! nimeingiwa nyongo na huyu kiasi kwamba sura yake huwa naiyona kama jinamizi vile. Hafai kabisa. Mwanzoni niliona km wanamuonea kumbeeee