Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,962
- 95,297
Kwa kosa lipi? Kwan Shein yupo kihalali madarakani!? Kilichofanya mtokwe na povu bungeni sababu si ilikua shein
Aombe radhi tu huyo bila hivyo ni segerea
Kwa kosa lipi? Kwan Shein yupo kihalali madarakani!? Kilichofanya mtokwe na povu bungeni sababu si ilikua shein
Vipi daladala hampandi tena? Ikiwamo kulipia nauli abiria?
Utajaza mwwnyewe cha msingi ni zzk aombe radhi tu
Kwani ni uwongo kasema?
Halafu mbona CCM hawalalamiki vinalalamika vyama ambavyo hata huku Namanyele hatuvijui?
Nachelea kusema tz hakuna upinzani kwa vyama vya kisisa. Waliopo wanatuchezea akili watz tu wanatujaza uongo jioni wako na selikari.
Kwa kosa lipi?
kama ndo wana nia hiyo watakuwa wameshafeli tunasubiri Maalim Seif atangazwe mshindi.Hawa jamaa hamjawaelewa, wanataka kutumia kauli ya zito ili mahakama itoe ufafanuzi wa kifungu 28.1.a kama kinatoa uhalali wa sheni kuendelea kuwa rais.
Na watapeleka ushahidi mbovu ili zito ashinde baadae waseme mahakama imesema sheni hana uhalali wa kuwa rais
Mbona ulideki barabara mwezi wa 9 huko musoma na kuzungusha mikono kama mwehu.
Nimeamua kukupuuza.....u talk nonsense
Ndio maajabu hayo. Pili kwani zitto alitoa kauli zile akiwa bungeni? au hata kabla hajaapa? sasa kama ni kabla hajaapa Speaker anaingiaje hapo? yaani hizi ni dalili za wanasiasa uchwala
Jibu lako hili hapa chini.
Ukishangaa ya yamoto kuwa band pasipo kuwa hata na gitaa utayona ya diamond kushinda tunzo America pasipo kuwa hata na single wanayoijua.