Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

Selungo

JF-Expert Member
Sep 23, 2009
1,271
403
WAKUU!

Namshangaa huyu Mh. Zitto Z. Kabwe. Wakati wa mkutano wa M4C Morogoro tuliambiwa angehudhuria. Baadae mawasiliano kati yake na Makamanda waliokuwa kwenye harakati za ukombozi yakapotea. Leo hii katia timu Addis na Mkulu.

Makamanda, hii ime kaa je? wakati Makamanda wengine wakiendeleza harakati za kuwakomboa waTanzania huyu Mh. mbona yupo beneti na Magogoni sana?

Ni kuuliza tu Makamanda.
 
Anajulikana wala wenzake hawahangaiki nae......ni msaliti no moja na fitna zaidi....acha ale unafiki wake muda ukifika atarudi na ukweli utajulikana!
 
Nafikiri ktk siasa zilizokomaa upinzani sio uadui wala siyo vita. Hivyo sioni sababu ya kuchukia kama hjyo dogo atakuwa amesafiri na mkulu wa nchi.

WAKUU!

Namshangaa huyu Mh. Zitto Z. Kabwe. Wakati wa mkutano wa M4C Morogoro tuliambiwa angehudhuria. Baadae mawasiliano kati yake na Makamanda waliokuwa kwenye harakati za ukombozi yakapotea. Leo hii katia timu Addis na Mkulu.

Makamanda, hii ime kaa je? wakati Makamanda wengine wakiendeleza harakati za kuwakomboa waTanzania huyu Mh. mbona yupo beneti na Magogoni sana?

Ni kuuliza tu Makamanda.
 
Mkuu siasa sio chuki, nadhani Zito amepata baraka zote toka kwa Viongozi wake. Suala la Zito kutoka nje na JK, linamjenga sana kidiplomasia na kuelewa siasa za nje zinavyoendeshwa. CDM wanahitaji sana ujuzi huu, na wapo kufuatilia kila kitu kwa karibu mno.
On other hand; hiyo yaweza kuwa janja ya serikali ya CCM kupandikiza hisia za chuki, kutoaminiana na makundi ndani ya CDM. Technique hii ni mzuri kuvuruga nguvu za CDM ambazo zinawakosesha usingizi CCM
Only solutions now for CDM are:
1) To keep our eyes veryvery close to Zito. Na ikigundulika ni double agent, atoswe mara moja.
2) Japo ni too late, iwekwe protocal ndani ya CDM, kama kuna nafasi kama hizo, CDM ndio watoe Jina la atakayesafiri i according na maudhui ya safari yenyewe.
 
alafu wana jf tujaribu kuwa na mtizamo wa mbali yule ni kiongozi wa chama taifa kwa hyo si jambo baya kwenda kukiwakilisha chama chetu na pia siasa siyo vita wala chuki, sisi wote ni watanzania na tunashirikiana kwenye matatizo ya wenzetu na ya kwetu ndani ya nchi yetu
 
Kwani kufanya kazi za kitaifa ni kosa. Kwa mawazo yako, kwa vile ni Mbunge wa CHADEMA basi hatakiwi afanye shughuli za kitaifa. Kwani hujui kama ni mwakilishi wa wananchi. Mawazo kama haya ni matokeo ya mbegu iliyopandikizwa ya chuki kwa tofauti ya kimawazo na kiitikadi. Kwani mpaka awepo kwenye M4C ndiyo uone kama anafanya kazi. Think bigger
 
Zitto anaanza kujenga mazingira ya kurejea nyumbani kama mwenzake Kaboro. Hawa jamaa ni wa hovyo sana na wana tamaa ya madaraka hakuna mfano. Ukitaka kujua Zitto ni pandikizi jiulize ni kwanini hakukanusha vilivyo tuhuma za uhusiano wake na Zoka ambaye anadaiwa kumteka Ulimboka. Badala ya kujitetea serikali iliamua kulifungia gazeti la Mwanahalisi. Zitto na Kikwete wote ni wasanii na wapenda madaraka hata kama hawana uwezo na hayo madaraka.
 
Upinzani sio vita, tujaribu kubadilika! Bado hajaenda kwenye tukio baya kumbuka ni msiba huo.

WAKUU!

Hapa hoja yangu sio vita au uadui. Nimejiuliza kwamba, iweje aweze kuitikia wito wa Magogoni kwa haraka na bila mawasiliano kukatika na kuungana na Mkulu, lakini kwenye la M4C mawasiliano yalikatika na hatukumuona kabisa licha ya kuahidi kuhudhuria kama tulivyo taarifiwa?
 
Huyu jamaa simpendi kama nini sijui. Kajamaa kana mambo ya kishamba kinoma sana haka. Halafu dizaini kama ushamba na ulughalugha bado haujamtoka. Kana tabia za kujikweza na kujiona kako bora kuliko wenzako. Mi natamani hata katimuliwe tu Chadema kama vipi.
 
Zitto ni disaster na ninashangaa watu ambao mnatoa povu kumtetea huyu gaidi wa ukombozi, huyo jamaa ni puppet leader, mfatilieni kwa makini mambo yake ndio mtagundua, huyu jamaa kama aliweza kumpigia kampeni Jk badala ya Dr.slaa 2010, je anashindwa nn kukisaliti chama? THINK BIG magreat thinkers huyu jamaaa hafai na sisi hatutacha kumchana live hata siku 1.
 
Huyu jamaa simpendi kama nini sijui. Kajamaa kana mambo ya kishamba kinoma sana haka. Halafu dizaini kama ushamba na ulughalugha bado haujamtoka. Kana tabia za kujikweza na kujiona kako bora kuliko wenzako. Mi natamani hata katimuliwe tu Chadema kama vipi.

kweli Zzk ni disaster na hafai kuaminiwa.
 
Back
Top Bottom