Huyu bwana anamatukio mengi yenye ukakasi kuhusu cdm, 2010 aliahidi kumpigia kampeni kafulila ambaye alikuwa amekihama chama ktk jimbo ambalo cdm walikuwa na mgombea pia.
Lakini kwa kuwa tunamjua, tukae naye kwa tahadhari asije leta madhara. huu ukaribu wake na m/kiti wa ccm sio bure
Lakini kwa kuwa tunamjua, tukae naye kwa tahadhari asije leta madhara. huu ukaribu wake na m/kiti wa ccm sio bure