Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Haya wajuba wazee wa siasa za Bongo muje munieleze vizuri. Zitto Kabwe alikuwa na nyadhifa gani ACT Wazalendo?
Wanahabari wetu wanaishia tu kutuambia kuwa alikuwa kiongozi wa chama.
Mwenyekiti alikuwa ni Juma Duni hajiKiongozi wa chama kwa ACT ndiyo mkuu wa chama ndiyo Mwenyekiti
Nimekuelewa sanaSimply, nafasi aliyokuwa nayo Zitto pale ACT ilikuwa ni fake, hakuna popote kwenye mfumo wa kidemokrasia hapa duniani utamkuta kiumbe anayeitwa "supreme leader" huu ni ulafi tu wa madaraka wa Zitto aliotoka nao Chadema akaona akakate kiu yake ACT.
Bahati mbaya tena, ameondoka kwenye cheo chake lakini ameacha udikteta chamani, huyu supreme leader anaweza vipi kuwa sawa na wanachama wengine kwenye mambo ya kimaamuzi ndani ya chama chao?
Kama hatakuwa sawa na wengine, yeye awe na kura ya "veto" basi hicho chama sio cha wanachama kwasababu maamuzi yao hayaheshiwi, hicho chama ni mali binafsi ya "supreme leader" hata kama sasa hivi wametoa hiyo nafasi kwa mwingine.
Zitto baada ya kuona kiu yake ya kujiweka juu ya wengine aliyoikosa Chadema amefanikiwa kuikata akiwa ACT, alitakiwa kuondoka uongozini na hicho cheo chake, lakini kwa kuondoka yeye na kukiacha hicho cheo, iko siku kitawatokea puani mbele ya safari.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hilo neno MKUU ma reporters hawajaliweka.Alikua kiongozi mkuu. Zingatia neno mkuu
Kiongozi wa chama ni kama Ayyatollah wa Iran.Kiongozi wa chama kwa ACT ndiyo mkuu wa chama ndiyo Mwenyekiti
Kiongozi wa chama kwa ACT ndiyo mkuu wa chama ndiyo Mwenyekiti
Ayatollah Zitto Kabwe, huu mfumo alikopi kule nchini Iran bila kujua unafanyaje kazi!Kiongozi wa chama kwa ACT ndiyo mkuu wa chama ndiyo Mwenyekiti
Hana akiliAyatollah Zitto Kabwe, huu mfumo alikopi kule nchini Iran bila kujua unafanyaje kazi!
AtakomaNi Mkubwa kuliko Mwenyekiti. Ni Supremo Leader kama vile Ayhatolla kule Iran.
Kisiasa amefanya kosa kubwa sana ambalo atalijutia huko mbeleni. Akamulize Mabere Marando yaliyomkuta NCCR Mageuzi ..... Au Maalim Seif kule CUF ..... Historia huwa inajirudia.
Zitto ni mdini sn alienda kucopy IranKiongozi wa chama ni kama Ayyatollah wa Iran.
Huu mfumo Zito ameiga Iran Mwenyekiti anakuwepo ila Kiongozi anakuwa na nguvu zaidi. Hata Iran Rais wa Iran hawezi mfanya kitu Ayattolah.
Mfumo wa kiduanzi sana wa walafi wa madaraka