Zitto Kabwe: MSD haina mtaji wa kununua dawa na mtaji wa MSD ni bilioni 500, sawa na fedha ilionunua ndege moja

Tunapotaka kufanya maendeleo ya nchi
Yatupasa kuangalia vitu vingi sana mkuu wangu hasa hasa hii dunia ya sasa,

Yataka intelligence ya hali juu kuleta maendeleo katika mataifa kama Tanzania

Kuondoa siasa ya vyama vingi ni moja ya intelligence moja wapo laasivyo hatufiki popote au tuende kwa mwendo mdogo sana

Lazima tuwe na one direction kama ilivyokua kwa THE GREAT LEAP FORWARD china
Haya Shauri Zetu
Ww lazima utakuwa ni mzee, ndio maana una mitazamo so outdated. Uzuri wa hii mitandao ya kijamii, hata nyie wazee mliopeteza ramani mnapata nafasi ya kupunguzia uzee.
 
Na hii ndio maana ya Prof. Assad "cash ifanyie mambo mengine" nunua madawa kopa ndege, biashara itajiendesha deni linalipwa.
Ila one man show, mipango ya ndege mwenyewe, mnunuzi mwenyewe, angekua na uwezo angekua rubani ye mwenyewe.

Marehem si msukuma mwenzio?
 
Y
Sawa MSD wanaidai Serikali lakini pia inachangiwa na Uongozi mbovu wa MSD kuweza kuzitumia vizuri hela zinazopelekwa pale MSD.

Hili jambo kuhusu MSD limewai kuongelewa siku za nyuma hapa JF. Uongozi pale MSD ni tatizo kubwa sana kumekuwa na rushwa kubwa sana kwenye upande wa manunuzi pia dawa zimekuwa zikiharibiwa kila mara kutokana na over procurement.

Sio kwamba Serikali haijapeleka hela MSD hapana, hela imepelekwa sana isipokuwa zinatumiwa vibaya na Uongozi uliyopo, hela zinaelekezwa kwenye matumizi mengine badala ya kununua dawa. Kiongozi aliyepo kila siku anakimbizana kuwatoa wafanyakazi kwa kusikia majungu badala ya ku-deal na mifumo.

Serikali inaleta hela hapa MSD isipokuwa zinaelekezwa kenye matumizi mengine. Ningeshauli hebu CAG apitie ripoti za kaguzi mbalimbali zilizowaifanyika ili kubaini ukweli. Pamoja na deni lakini MSD pana shida ya Uogozi.
Yaani unasema hata yule kiongozi, aliyeteuliwa mwanajeshi pale MSD kashindwa??
 
Leta sera ya kubadili hiko kitu uone mtafaruku na wasaka tonge watakavyo lalamika. Wabunge wana compensation kubwa ila na uwaziri juu. Watz waelewe wanasiasa wanapata fedha nyingi sana. Zziara ya waziri ya siku mbili posho take ni mshahara wa mtu wa mwezi na wengine hawafiki huko bado hajalipwa kwa kuwa mbunge 9mil km sijakosea bado pishi za kujikidhi sijui yani wenye taarifa waweke hapa. Kuna watu wanakazi nyingi wakati watu wengine hawana ata moja. Fedha haizunguki sera mbovu katiba mbovu na capitalist capitalize on those flaws
Mshahara wa mbunge 12M akiwa waziri top up 7M

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Hivi wao huwa hawajiulizi kwanini huko hawana hayo meeeeengi !? Na hawasemi hivyo kama wako sokoni!?

Watanzania shitukeni tunauziwa maneno.. theatre ya wasanii wachache wanacheza na maneno kuyapa uzito usiokuwa na maana... Tukafanye kazi.. ni mjinga anadhani isiponunuliwa ndege atapewa yeye hiyo hela.. wote hawa wanasiasa wezi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa walizoea kwenda kuoshwa matako ulaya baada ya mwenda zake kubana sasa wanafia kwenye ndege.
Kama ndege hizo zingemaliza madeni ya MSD je wanafunzi wanao ongezeka kila siku ingekuwaje? Je mabalabala yasingetengenezwa? Mishahara je? mambo mengi hata ya tiba hizo pesa zingekuwa zinatoka wapi maana ndege hazitakuwapo?

Itafika siku watasema wauze mahospitali ili walipe watu mishahara.
Una akili ya kuku hiiiii
 
Akichambua ripoti ya CAG, Zitto amesema taarifa ya CAG imeibaini MSD inaidai Serikali zaidi ya sh bilioni 300 na MSD ili ijiendeshe inahitaji sh bilioni 500 fedha ambayo inalingana na gharama ilotumika kununua ndege moja.
Kwa dikteta ndege ni muhimu kuliko afya ya binadamu
 
Hawa jamaa naona suala la Ndege linawapa kiki, Kila mtu Ndege. Ndege. Utadhani hassara itokanayo na Ndege ilianza Jana au juzi.

Si bora kunahasara lakini Ndege tunaziona. Soma report za CAG kuanzia miaka ya tisini halafu ndo mtajua kua wanaoshadadia hili swala kwa kumchafua ni wachumia tumbo au ni watafuta kiki.

Ila naamini mda si mrefu Mh, Mama Raisi atawagundua janja janja yenu.

CCM-kuweni makini, mnachimbiwa Kaburi.
Mataga pori mnalazimisha watu wasifu na kuabudu ugoro.

Hizo ndege sio za ukoo na sio kwa ajili ya kuziona ni kwa ajili ya ku-generate profit.

Yani mnakopa 1.2 Trillion kwa ajili ya ujenzi wa madarasa alafu mnatumia 1.5 trillion kununua ndege ambazo ni hasara tupu kwa taifa alafu mnatupangia cha kuongea?????????
 
Mfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Hivi unajua kama Tanzania ya Nyerere ilikuwa ni nchi ya chama kimoja, unajua kama nchi ilifirisika kiasi mpaka mashirika na Viwanda alivyotaifisha viliuzwa?
 
Sawa MSD wanaidai Serikali lakini pia inachangiwa na Uongozi mbovu wa MSD kuweza kuzitumia vizuri hela zinazopelekwa pale MSD.

Hili jambo kuhusu MSD limewai kuongelewa siku za nyuma hapa JF. Uongozi pale MSD ni tatizo kubwa sana kumekuwa na rushwa kubwa sana kwenye upande wa manunuzi pia dawa zimekuwa zikiharibiwa kila mara kutokana na over procurement.

Sio kwamba Serikali haijapeleka hela MSD hapana, hela imepelekwa sana isipokuwa zinatumiwa vibaya na Uongozi uliyopo, hela zinaelekezwa kwenye matumizi mengine badala ya kununua dawa. Kiongozi aliyepo kila siku anakimbizana kuwatoa wafanyakazi kwa kusikia majungu badala ya ku-deal na mifumo.

Serikali inaleta hela hapa MSD isipokuwa zinaelekezwa kenye matumizi mengine. Ningeshauli hebu CAG apitie ripoti za kaguzi mbalimbali zilizowaifanyika ili kubaini ukweli. Pamoja na deni lakini MSD pana shida ya Uogozi.
Ikiwa ni hivyo imekuwaje huyo mtumbuaji aliuacha uongozi huo uendelee kuwepo ili hali unafuja madawa ?
 
Na hii ndio maana ya Prof. Assad "cash ifanyie mambo mengine" nunua madawa kopa ndege, biashara itajiendesha deni linalipwa.
Ila one man show, mipango ya ndege mwenyewe, mnunuzi mwenyewe, angekua na uwezo angekua rubani ye mwenyewe.
Yaani kilimshinda kuwa rubani tu
 
Hawa jamaa naona suala la Ndege linawapa kiki, Kila mtu Ndege. Ndege. Utadhani hassara itokanayo na Ndege ilianza Jana au juzi.

Si bora kunahasara lakini Ndege tunaziona. Soma report za CAG kuanzia miaka ya tisini halafu ndo mtajua kua wanaoshadadia hili swala kwa kumchafua ni wachumia tumbo au ni watafuta kiki.

Ila naamini mda si mrefu Mh, Mama Raisi atawagundua janja janja yenu.

CCM-kuweni makini, mnachimbiwa Kaburi.
jaribu kujenga hoja.
 
Sawa MSD wanaidai Serikali lakini pia inachangiwa na Uongozi mbovu wa MSD kuweza kuzitumia vizuri hela zinazopelekwa pale MSD.

Hili jambo kuhusu MSD limewai kuongelewa siku za nyuma hapa JF. Uongozi pale MSD ni tatizo kubwa sana kumekuwa na rushwa kubwa sana kwenye upande wa manunuzi pia dawa zimekuwa zikiharibiwa kila mara kutokana na over procurement.

Sio kwamba Serikali haijapeleka hela MSD hapana, hela imepelekwa sana isipokuwa zinatumiwa vibaya na Uongozi uliyopo, hela zinaelekezwa kwenye matumizi mengine badala ya kununua dawa. Kiongozi aliyepo kila siku anakimbizana kuwatoa wafanyakazi kwa kusikia majungu badala ya ku-deal na mifumo.

Serikali inaleta hela hapa MSD isipokuwa zinaelekezwa kenye matumizi mengine. Ningeshauli hebu CAG apitie ripoti za kaguzi mbalimbali zilizowaifanyika ili kubaini ukweli. Pamoja na deni lakini MSD pana shida ya Uogozi.
Huu ni uzushi mwingine. Taarifa ya CAG haijawahi kuonesha MSD kuna tatizo la ubadhilifu. Hizi zilikuwa hoja za kisiasa ili wananchi wasilalamikie mapungufu ysa Serikali.
 
Hawa jamaa naona suala la Ndege linawapa kiki, Kila mtu Ndege. Ndege. Utadhani hassara itokanayo na Ndege ilianza Jana au juzi.

Si bora kunahasara lakini Ndege tunaziona. Soma report za CAG kuanzia miaka ya tisini halafu ndo mtajua kua wanaoshadadia hili swala kwa kumchafua ni wachumia tumbo au ni watafuta kiki.

Ila naamini mda si mrefu Mh, Mama Raisi atawagundua janja janja yenu.

CCM-kuweni makini, mnachimbiwa Kaburi.
Yani kuheshimu mawazo huru ni muhimu ila baadhi yanachefua. Yani bora ndege ziwepo tule hasara wakati kuna watu hawana ajira hawana madawati hospital hamna dawa, alafu unataka tuwe comfortable kula hasara ya 150 billion shillings ili tu na sisi Tanzania tuwe na ndege. Jiulize ukishakuwa na ndege yenye hasara ni kwa manufaa ya nani ndugu yangu? Tz we dont have the comfort ya kula hasara kubwa hivo kisa eti inakuja sector nyengine!!! Hivi watalii watashindwa fika Tanzania km air tz hamna? Swala la busara ni kurangaza sector ya utalii kupitia balozi na ndo kazi yake na sio kuwa na mindege ambayo haina mana. Alafu kwa upimbi wenu ata hamuelewi hindi ya kuendesha mradi ya ndege, hamjui kuwa ndege ina mda wa kuruka na baada ya mda kuisha inapaki yard tu, hamjui chochote nyinyi ni timu magu na timu ukabila tu baada ya kuweka taifa mbele. Magu alikuwepo na atakuja mwengine na ataaondoka ila taifa hili litabaki na ndo tunu yeti. Kustawisha maisha ya watu ma sio kujionesha mbele ya mataifa mengine, kujimombofaiya hasara wakati mad fedha ya dawa haina lkn eti kuna jitu limepindisha sheria kwa matakwa take akanunua midege na ww kwa sababu ni kabila moja sijui unafurahi taifa kula hasara ya 150BTSH!!! I'm pretty sure you dont even know thamani ya hiyo hela unaenda na flow tu ww. Yani mawazo mengine hatana mana ndo naambiwa msome hisabu hamtaki nyie kishazi tu alafu unaongea vitu huna fact. Maria hasira yani na jerry slaa wenu mpumbavu tu, eti ndege sio kunguru kwenye context siyo eleweka! True ndege sio kunguru, lila flight inayo ruka ujue ndo life span yake inapungua kwahiyo poleni hasara 10-20 years mpaka uanze kuwa profitable alaf flight limit imefika mpaka ndege yadi tuendellee kupiga majority aje kiongozi mwengine na macao yake mambo yake yanaenda nyinyi mnapika ngenjero na filimbi, pimbu mnaishia hanna nyuma wala mbele. Leo tunaongelea tehama ila shuleni ata computer za chogo hakuna alafu tule hasara ya 150billion!!!? Yani unajua inanunua computer ngapi iyo hela kusaidia mashuleni au dawati ngapi. Yani Maria hasira aisee I wish ningekujua nikaja kukufanya ya wasiojulikana kwa ujinga unamsema huo. Alafu pengine una masters sijui apo inaitwa dr. Nani sijui. Ndo mana msukuma akasema standard 7 wapewe wao uwaziri na waaminiwe mana nyie madocta wapuuzi tu. #NUMBERS DONT LIE yani sijamaliza I wish sijui nikufanye nn ila nikuombe kwa Mungu usije zaaa watoto pimbi tu mana dah acha....
 
Back
Top Bottom