The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,159
- 51,094
Sawa.
Jaribu uone! Sehemu kubwa ya watumiaji wa KQ wanaotokatoka nje ni kwa sababu ya kuja kutembelea vivutio vya Tanzania.tatizo ni kuwa asilimia kubwa ya safari za KQ sio tz. labda ufute route zinazowapa hela
ccm wamebaki kushika tama hawajui kuyamaliza kidiplomasia ni niniChadema watabisha!
Kama ni Salama lazima uyauze Kenya?
Chadema mnajiona wanyonge mbele ya kila mtu!
Sisi tulifikiri ni kwa wazungu tu kumbe hata kwa wakenya? Au kwa vile wanaongea sana Kingereza?
Kuigusa Kenya, wewe futa safari za KQ Tanzania na funga mpaka! Utaona watakavyokurupuka.
utumwa!Hiyo sio diplomasia ya uchumi, ungejua jinsi mteja anayenunua kitu kwako unatakiwa kumbembeleza na kuishi nae kwa wema usingesema hayo maneno
Mwambie Jiwe na Palamagamba watimize wajibu wao kwa kulinda wakulimu wetu sio kuweka mkazo kwenye wizi wa kura pekeeChadema watabisha!
Kwani wakati mnachoma vifaranga ya kenya na kuuza ngombe wao mliwashirikisha chadema?Chadema watabisha!
KUB alikuwa Mbowe!Kwani wakati mnachoma vifaranga ya kenya na kuuza ngombe wao mliwashirikisha chadema?
mlimshirikisha wakati wa uchomaji wa vifaranga na kuuza mifugo ya kenya?KUB alikuwa Mbowe!
Hivi ni lazima muuze mahindi yenu KenyaChadema watabisha!