Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Lakini neno linasema ni heri mtu yule atakayetafakari hekima, na kuangalia ufahamu.
JF imekuwekea notification kuhusu siasa ya pekee kwenye device yako nini?Nilisema CHADEMA lazima watabisha!
Ni mambo ya teknolojia tu bwashee!JF imekuwekea notification kuhusu siasa ya pekee kwenye device yako nini?
Kila uzi wa kwanza kucomment.
Uko hewani balaa.
Nyinyi nchadema hovyo kabisa. ZITTO SIYO SIZE YENU, Wakati nyie mna viongozi wenu mmekimbilia DUBAI, UBELIGIJI NA CANADA Zitto yupo anashiriki kujenga nchi. Wajukuu wa mabebebru nyie kaeni kimya haiwahusuKila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Hii mada inahusiana vipi na Chadema? Au kutotumia akili ndio kunawaponza.Nyinyi nchadema hovyo kabisa. ZITTO SIYO SIZE YENU, Wakati nyie mna viongozi wenu mmekimbilia DUBAI, UBELIGIJI NA CANADA Zitto yupo anashiriki kujenga nchi. Wajukuu wa mabebebru nyie kaeni kimya haiwahusu
Umejuaje kuwa ameongea tu kutoka hewani bila ya kuwa na ushahidi wa kitaalaam, au yeye mwenyewe amesema hivyo wakati anaongea?Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Wewe unayejadili hii taraaifa, ulimsikia Zitto akiongea mwenyewe au umesoma kwenye mtandao? Nauliza hivi kwa sababu swali lako linalazimisha Zitto awe mtaalamu wa chakula. Je, wewe unayehoji na ku-support the opposite, umeyapima hayo mahindi na kukuta kuwa yako kama yanavyodaiwa? Kama hukuyapima na una taarifa ambazo ubongo wako umeamua kuzichakata, je,wewe pekee ndiyo mwenye haki hiyo na siyo Zitto au mtu mwingine yeyote yule?Amepima mahindi akakuta hayana sumu?
Tuseme umedanganywa, au wamepima wakakosea, wewe maabara unayo?Zitto ana maabara ya kupima ubora wa chakula?
Amesoma chemistry wewe umesema nini mkuuMbona Magufuli ye anajifanya anajua mambo ya corona na huku hajasomea Mambo ya afya
Sent using Jamii Forums mobile app
Uharo kama huu unapost wa nini? Kwani nini maana ya Kenya kuwa na mamlaka za kupima ubora wa chakula. Zitto ni mamlaka ya kupima chakula hapa Tanzania?Wewe unayejadili hii taraaifa, ulimsikia Zitto akiongea mwenyewe au umesoma kwenye mtandao? Nauliza hivi kwa sababu swali lako linalazimisha Zitto awe mtaalamu wa chakula. Je, wewe unayehoji na ku-support the opposite, umeyapima hayo mahindi na kukuta kuwa yako kama yanavyodaiwa? Kama hukuyapima na una taarifa ambazo ubongo wako umeamua kuzichakata, je,wewe pekee ndiyo mwenye haki hiyo na siyo Zitto au mtu mwingine yeyote yule?