Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
Hata kama tuna hasira na JK daa hii imezidi bana, kwani kunaubaya gani akienda na Zito??upuuzi wa jk msituletee!!!!!!kwa nini Zito,na si Godbless Lema kwenye hiyo presidential entourage!!vigezo vipi hutumika!toeni upuuzi wa jk!