Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Kuna vitu mnatakiwa kuvifikiria kabla hamjakurupuka kupost. Wenje alisafiri na Makamu wa Rais mbona hakutoa taafifa kwenye hizo mnaziita twita na fesibuku? Semeni ukweli tu kuwa Zitto HAAMINIKIZitto,tatizo ni kwamba taarifa kama hizi huwa unafanya
haraka sana kuziweka kwenye facebook na twitter,sijui kwanini
una chelewa kutuambia watu wa JF (kama sio kui-under value)!
Sidhani kama ungetoa maelezo kama haya siku unaenda yangetokea majungu kama
haya,kama nisingesoma post yako kidogo niandike na mimi maswali juu ya safari hiyo,...
so far nimekuelewa,lakini please jamii forum inastahili taarifa kama hizi pia