Zitto Kabwe, Kikwete na Rais wa Sudani ya Kusini

wakenya kule juba wamshika biashara zote muhimu kama vifaa vya ujenzi, vifaa vya electronics nk....waganda wao wamejikita zaid kwenye nguo na baadhi ya wakenya nao wanafanya biashara hii.........watanzania walio wengi huko ni wamasai wanaendesha biashara yao ya kuuza dawa za miti shamba.....
 
Point to note: Kikwete mara zote anapokwenda nje na viongozi wa upinzani hupenda "kuzoa misukule" kama kina Cheyo, Zitto, n.k. Wale wanaompa critics za ukweli hawapendi kabisa...
 
Mh Zitto Kabwe akimpongeza Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Sudan ya Kusini Generali Salva Kiir Mayarditi jana huko Juba baada ya kutambulishwa na Rais Kikwete ambaye anaonekana kwa kwa nyuma.

GO9G9056.JPG

Hizi ndo suti wanazoshonewa kwa gharama ya mlipa kodi kila wanaposafiri nchi za nje? Uuuuwiiiiiiiiiii Tutakwisha!
 
Waambieni watanzania wachangamkie hasa wafanyabiashara unajua jamaa wa Khartoum wamezuia bidhaa nyingi kuuzwa kusini hivyo watu wanahangaika kwa sasa hivyo hawa jamaa watategemea sana soko la kutoka afrika ya mashariki.
 
Zitto anatayariswa na mzee mwenyewe, hawa CDM ndio watajua nini maana ya kupigwa kanzu. Mtakuja sikia dakika za mwisho anahama chama halafu ndio atakua mgombea urais wa CCM.
 
Mkiambiwa Zitto ni kibaraka wa CCM watu mnabisha, chanzo cha migogoro ndani ya CDM ni yeye na hata suala la ukabila na udini anahubiri Kikwete Zitto ndiyo chanzo.
 
tuangalie kuna fursa gani za sisi kuwekeza hapo sudani kusini, kuliko kuwa narrow minded kuwa ni nani amekwenda huko na kwa nini. ni sahihi zitto kwenda kwani kitaaluma ni mchumi lakini zaidi mchumi kakika biashara za kimataifa. naunga mkono hoja zitto kuwa among the representative delegate to s. sudani.
 
Mkiambiwa Zitto ni kibaraka wa CCM watu mnabisha, chanzo cha migogoro ndani ya CDM ni yeye na hata suala la ukabila na udini anahubiri Kikwete Zitto ndiyo chanzo.
wote ni vibaraka tu hao, tatizo lao ni njaa, watakwenda kokote muhimu kuna maslahi.
 
hivi wapinzani hawana waziri kivuli wa mambo ya nje?au ni discretion ya rais kuteua mtu yoyote kutoka kambi ya upinzani kuandamana naye!!of course jk na zitto ni washikaji tokea zamani,...sijasema rais kaangalia swala la dini kwenda na zitto,hilo mmesema nyinyi...
 
Akili Kichwani Hao ndio wanasiasa wetu, niliwai kusema CDM namuamni Slaa peke yake kwahiyo bora CCM wasioaminika ni wachache kuliko wanaoamnika, we angalia Kikwete alipoteuwa kama ya Madini Madudu aliyofanya huko huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM.

Mara nyingene nimesema heri ya Shibuda ni muwazi hana madhara kwasababu yaliyo moyoni mwake anaya weka wazi, hila hapa kwenye Joka la Mdimu sijui!
 
Zitto ameenda kama nani? Mbona Mbowe kama kiongozi wa upinzani bungeni hakwenda yeye?
 
Back
Top Bottom