Zitto Kabwe: Iundwe Kampuni ya Uendeshaji wa Bandari, TPA na DP World ziwe na Umiliki Sawa (50/50), Azimio sio Mkataba wa Uendeshaji

Iyo Nyerere dam umepewa? Unaongelea makaratasi??? Kipi kingine cha maana waliwahi kukupa?? Usituaminishe shule ulisomea ujinga
Wamekupa kikubwa sana kuliko vyote.

Wamekupa ustaarabu.

Unajuwa kinyume cha ustaarabu ni nini?
 
Wamekupa kikubwa sana kuliko vyote.

Wamekupa ustaarabu.

Unajuwa kinyume cha ustaarabu ni nini?
Kwamba WAAFRIKA tulikuwa sio wastaarabu? Waliuleta Hawa wanavilemba? Tamaduni zetu zilikuwa za kishenzi?
Mbona sijakuonaga na hoja ziro hivi au umehakiwa??
 
Zitto simuelewi kabisa!
Hapo anauma na kupuliza tu, akizunguka mbuyu.

Amesena Azimio sio mkataba, ok; basi hao DP wakae mbali na hiyo bandari yetu kwanza mpaka kwa tumalize kujadiliana "kistaarabu".
 
Zitto simuelewi kabisa!
Hapo anauma na kupuliza tu, akizunguka mbuyu.

Amesena Azimio sio mkataba, ok; basi hao DP wakae mbali na hiyo bandari yetu kwanza mpaka kwa tumalize kujadiliana "kistaarabu".
km ulikimbia shule utaelewaje. Ulishaambiwa ujinga nia adui
 
95% ya waislam ni wanafiki sana hasa kiongozi akiwa Muslim mwenzao watamtetea,ngoja sasa kiongozi awe Mkristo uone.

Hapo zitto akili yake yote imejaa udini tu,ameona aliyeshika mpini ni Muslim mwenzake na wawekezaji nao ni Muslims wenzao,basi anajilopokea tu.
acha udini we fala
 
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe

"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"

"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"


"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."


Azimio kivipi wakati ni makubaliano ya ovyo kwa upande wa tanzania. Tunawajua hawa. Wamekubaliana halafu wanajidai 3ti ni maazimio. Wanafanya raia w tanzania wajinga.
 
Ujumbe umekuingia.
Upi Sasa... Shida unapigania dini siyo ukweli!!! Kahujui tofauti na mazungu yaliyo maovu yenyewe yanafanya uchafu wazi hawa waovu wao wanafanya Kwa vificho sana... Ukiwa bwege utaamini wao wote ni wasafi kumbe pyeeh!
 
Back
Top Bottom