Shilingii
Senior Member
- Feb 3, 2023
- 158
- 203
Iyo Nyerere dam umepewa? Unaongelea makaratasi??? Kipi kingine cha maana waliwahi kukupa?? Usituaminishe shule ulisomea ujingaWajinga ndiyo waliwao.
Wanakupa Nyerere Dam.
Iyo Nyerere dam umepewa? Unaongelea makaratasi??? Kipi kingine cha maana waliwahi kukupa?? Usituaminishe shule ulisomea ujingaWajinga ndiyo waliwao.
Wanakupa Nyerere Dam.
Wamekupa kikubwa sana kuliko vyote.Iyo Nyerere dam umepewa? Unaongelea makaratasi??? Kipi kingine cha maana waliwahi kukupa?? Usituaminishe shule ulisomea ujinga
Kwamba WAAFRIKA tulikuwa sio wastaarabu? Waliuleta Hawa wanavilemba? Tamaduni zetu zilikuwa za kishenzi?Wamekupa kikubwa sana kuliko vyote.
Wamekupa ustaarabu.
Unajuwa kinyume cha ustaarabu ni nini?
Ujumbe umekuingia.Kwamba WAAFRIKA tulikuwa sio wastaarabu? Waliuleta Hawa wanavilemba? Tamaduni zetu zilikuwa za kishenzi?
Mbona sijakuonaga na hoja ziro hivi au umehakiwa??
we toa maoni yako hata wewe una tumboZitto ni mchumia tumbo
km ulikimbia shule utaelewaje. Ulishaambiwa ujinga nia aduiZitto simuelewi kabisa!
Hapo anauma na kupuliza tu, akizunguka mbuyu.
Amesena Azimio sio mkataba, ok; basi hao DP wakae mbali na hiyo bandari yetu kwanza mpaka kwa tumalize kujadiliana "kistaarabu".
ule uovu uliofanywa na mzee wenu wa legacy unauonajeKama azimio sio mkataba mbona waarabu walishaanza utekelezaji tangu October 2022?
Zitto ni wakala wa shetani, wanahangaika kuficha udhalimu aliotufanyia Samia.
acha udini we fala95% ya waislam ni wanafiki sana hasa kiongozi akiwa Muslim mwenzao watamtetea,ngoja sasa kiongozi awe Mkristo uone.
Hapo zitto akili yake yote imejaa udini tu,ameona aliyeshika mpini ni Muslim mwenzake na wawekezaji nao ni Muslims wenzao,basi anajilopokea tu.
Rejea upya kusoma bandiko utaona matusi kama niwakuonaUlelewa wako mbona hauna kina?
Wapi katukana? Nukuu.
Ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe
"Azimio sio Mkataba wa uendeshaji (concession agreement) wala sio Mkataba wa Uwekezaji (HGA). Azimio la Bunge ni ruhusa tu ya kuanza kujadiliana hiyo mikataba mingine. Azimio hili litakufa kibudu pasipokuwa na makubaliano yatakayofikiwa ndani ya miezi 12. Tunaweza kuboresha na kufaidika iwapo tukiamua. Tazama A GLASS HALF FULL sio A GLASS HALF EMPTY"
"Kampuni ya uendeshaji wa Bandari itakayoundwa Kwa Mujibu wa Makubaliano ya Tanzania na Dubai imilikiwe Sawa kwa Sawa kati ya DP World na TPA. Wao wana Fedha na teknolojia, Sisi tuna Bandari. Tuunde 50-50 JV. Tukijenga uwezo wetu wa ndani tutaweza kuwanunua na tukawa 100%. Tulifanya hivyo Uwanja wa KIA. Pale KIA tulikodisha kwa Kampuni ya Afrika Kusini na Uingereza. Baadaye Serikali ikachukua Hisa na hatimaye KADCO sasa inamilikiwa na Serikali. Uendeshaji wa Huduma za Bandari ( operatorship ) unaweza kufanywa na Sekta Binafsi (rejea msimamo wa kisera wa ACT Wazalendo ktk picha ). Mamlaka ya Bandari kisheria ni LANDLORD. Njia sahihi kwa Bandari ya Dar ni Kampuni ya Uendeshaji kumilikiwa 50-50 kati ya TPA na Mwekezaji!"
"Tunaweza kujadiliana kwa staha. Huna sababu kuhamaki na kuita Watu majina mabaya. Kilichopitishwa na Bunge ni Azimio ya Ushirikiano baina ya Nchi Mbili ambalo lisipotekelezwa kwa miezi 12 litajifia. Azimio lina matobo mengi ambayo ni muhimu yazibwe kwa Serikali yetu kutaka ‘addendums’. Jambo muhimu na kubwa ni kuwa kuna Mkataba wa Uwekezaji (HGA) Hata majadiliano bado na huu ndio haswa utakaoamua aina ya Uwekezaji utakaofanyika. Huo Ndio utaunda Kampuni hapa nchini ambayo Ndio itaingia hayo makubaliano ya kuendesha Bandari. Hapo ndipo tunapaswa kutaka umiliki Sawa wa Kampuni hiyo ya uendeshaji. Ni muhimu Sana katika masuala mazito kama haya kutofautisha UKWELI na HISIA. Feelings Hata Mbwa anazo. Mwanadamu anafanya maamuzi kwa kutazama FACTS. Hata hivyo, ninatambua, ninaelewa na ninathamini FEELINGS zako na za wengine katika jambo hili. Bahati mbaya Mie sio mtu anayetazama mambo kwa hisia bali natazama mambo kwa ukweli."
Upi Sasa... Shida unapigania dini siyo ukweli!!! Kahujui tofauti na mazungu yaliyo maovu yenyewe yanafanya uchafu wazi hawa waovu wao wanafanya Kwa vificho sana... Ukiwa bwege utaamini wao wote ni wasafi kumbe pyeeh!Ujumbe umekuingia.