Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
zitto hana maana.nilimwona kama mtu wa heshima kumbe nimekosea.hakuna cha kujifunza kwake
Mda wa uchaguzi. Wanatafuta jinsi ya kuingia mtaani. Hawana loloteHii nchi inahela sana asikwambie mtu, tuna hela za kuishi 6month wasitubabaishe hawa Wazungu.
Basi atawajibika kwa bunge kama limemtuma na ameliwakilisha vzrYes kofia ya bunge na yeye ni mbunge sio katibu kata wala afisa mtendaji
Umewahesabuuu?Kitendo cha Mh.Zitto Zuberi Kabwe kuandika barua kusitisha mkopo kutoka benki ya Dunia inaweza kuwa enjoy mwisho wake kuwa mbunge, Watanzania wote isipokuwa vibaraka wachache sana ndiyo wanaomuunga mkono hata humu mitandaoni wamo.
Kapoteza imani siyo miami
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu alichokiandika kwenye hiyo barua ni cha kweli au si kweli?
Spika Job Ndugai amesema wanamsubiri Mbunge Zitto Kabwe awaeleze kwanini aliandika barua kwa Benki ya Dunia kuzuia mkopo kwa ajili ya elimu nchini.
My take huyu jamaa anayejiita Zitto sisi wananchi wa Kigoma tutamuadhibu kwenye sanduku la kura.
Sent using Jamii Forums mobile app