George Jinasa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 399
- 52
Anayemuandika zitto kuwa ni maarufu kuliko chadema si mkweli na nadhani anashirikiana na zitto aandike then zitto akanushe,kwa kweli simuamini hata chembe moja zitto.mnafiki na msaliti..Yuda alimsaliti Yesu akaishia kujinyonga...zitto ataishia wapi!?!tusubiri tuone
Hope kwa uwezo wa Mungu atafika mbali zaidi. Kama kutakuwa na alipokosea atakuwa mwepesi kujirekebisha. Ni vizuri tukatakiana heri badala shari hata kama ni kwa dua ya kuku.