Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ni kweli kwa Tanzania ana haki ya kwenda mahakamani lakini hana haki ya kurudi na ushindi, hata kama akirudi na ushindi itakuwa very late 2015 mwezi mmoja kabla ya bunge kuvunjwa rasmi.kwani huyu kafulila hana haki ya kukata rufaa mahakamani? grounds anazo nyingi sana ikiwemo mamluki waliochahaguliwa na mbatia kwani alisahwapnga kumkataa,mbatia kawa a judge on his own course.
pili tuhuma zake zimethibitishwa pasipo kuacha mashaka??? walifikiria wananchi waliomchagua? kwanii wasiige kwa wenzao magamba
¨kule hata uwe fisadi mla watu haufukuzwi chama unaambiwa vua gamba iweje chama chenye wabunge wawili watatu wamtimue uanachama huku wakijua wanapoteza mbunge na ruzuku itapunguzwa??
huyu mchaga kadata kabisa kaniudhi sana,Kafulila hebu rudi kasulu pale nunua radi ya sh 20 tuma kwa mahasimu wako. Waambie ni kwanii Malecela haendi Kigoma.