Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Zitto Kabwe swahiba na mshirika wa karibu wa mbunge aliyetimuliwa kwenye chama chake Kafulila, ameweka wazi kutojihusisha na sakata la Kafulila kwa namna yoyote.
Akiweka maelezo kwenye ukarasa wake wa Facebook ameshindwa kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kuwaita polisi.
Hata hivyo ameelezea kuwa huwa mara zote yuko upande wa mtu anayeonewa na mnyonge. Mwisho ameweka wazi Kafulila anakaribishwa CDM na kwamba hakufukuzwa hivyo katiba ya Chadema ipo wazi anakaribishwa
source FB
Akiweka maelezo kwenye ukarasa wake wa Facebook ameshindwa kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kuwaita polisi.
Hata hivyo ameelezea kuwa huwa mara zote yuko upande wa mtu anayeonewa na mnyonge. Mwisho ameweka wazi Kafulila anakaribishwa CDM na kwamba hakufukuzwa hivyo katiba ya Chadema ipo wazi anakaribishwa
source FB