jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Huko mna madaraka ya kuwapa? Ama ubalozi?JK anawasubiri , njooni huku CCM achaneni na NGOs.
Huko mna madaraka ya kuwapa? Ama ubalozi?JK anawasubiri , njooni huku CCM achaneni na NGOs.
Possibility ya kupata ridhaa ni 83%. Plus NCCR ni wajamaa, tunamuhitaji kafulila, asiende CDM.Huko mna madaraka ya kuwapa? Ama ubalozi?
You mean "Obedient".... right?Chadema will be better off kama itakuwa na wabunge wachache ambao ni committed to the party kuliko kuwa na wabunge wengi wa sampuli ya Shibuda!!
Heheheeeeee! CDM wasije wakafanya kosa kama ilo la kuingiza kirusi ndani ya chama chao. Aende zake mwanakwenda kwani alilewa sifa za kijinga na akajisahau kufikiri kama binadamu na badala yake akakubali mtu mwingine afikiri kwa niaba yake. matokeo yake amekua akikokotwa kama kondooo.
Ya kupata ridhaa ya nani?Possibility ya kupata ridhaa ni 83%. Plus NCCR ni wajamaa, tunamuhitaji kafulila, asiende CDM.
That one too, nowadays balozi ni ceremonial poisiton.
katika bunge akishilikiana na hamad rashid alimshambulia sana mbowe kwa kutowaingiza kt kambi rasmi ya upinzani, uyu ana aibu kurudi cdm kwa maneno yake dhidi ya mwenyekiti.ila kwa kuwa ni mtanzania na alifanya kosa basi aombe radhi cdm ili asimamishwe tena katika jimbo lake la kigoma kusini. Lakini lazima ashike adabu yake.
Atatulia kashajifunza kitu,so ajiunge na wapambanaji
kafulila bado ni kijana mdogo apewe nafasi nyingine.mkuu uko very correct, ata kama kafulila ataomba na kurudi cdm na ata kugombea kwa tiketi ya cdm, fine lkn lazima wajue (zito pia kafulila) ajenda zao ziko bayana na watanzania tunawafahamu na mipango yao iko bayana kabisa, zito kabwe ajirekebishe mwenendo wake ambao hatukubaliani nao, aswa yeye km kiongozi wa cdm vinginevyo post ya unaibu katibu mkuu wa chama haiache, kujiingiza tu ktk mambo ya nccr ata kuwajulisha polisi kilichokuwa kikijiri ktk kikao cha nccr by any means hakikuwa sahihi ana masilahi yapi uko NCCR, asa kwa kiongozi wa cdm mwenye post ya unaibu katibu mkuu wa chama cdm, bwana zito be serious tunaiunga mkono chadema kwa kuwa tunaamini ukombozi wetu uko uko, sasa wewe na NCCR kulikoni?? viongozi wa chadema muwe serious o/w mjue uko mbele ya safari hatutataka
Mkuu MTM,
Sidhani kama kuna mtu anasema kuwa Mbatia yuko sahihi au ni kiongozi mzuri. Pamoja na umuhimu wake, political vibrancy kwenye vyama bado inahitaji kupelekwa kwa akili na busara badala ya jaziba.
Hata kama Kafulila alikuwa sahihi, kilichowazi ni kwamba ameshindwa kuchanga karata zake vizuri. Ni sawa na kupeleka jeshi zuri sana vitani ila ukishindwa mbinu za kulisaidia lipambane na adui...Madhara yake ni kama hayo.....mortalities and causalities ambazo si za lazima!!
mkuu uko very correct, ata kama kafulila ataomba na kurudi cdm na ata kugombea kwa tiketi ya cdm, fine lkn lazima wajue (zito pia kafulila) ajenda zao ziko bayana na watanzania tunawafahamu na mipango yao iko bayana kabisa, zito kabwe ajirekebishe mwenendo wake ambao hatukubaliani nao, aswa yeye km kiongozi wa cdm vinginevyo post ya unaibu katibu mkuu wa chama haiache, kujiingiza tu ktk mambo ya nccr ata kuwajulisha polisi kilichokuwa kikijiri ktk kikao cha nccr by any means hakikuwa sahihi ana masilahi yapi uko NCCR, asa kwa kiongozi wa cdm mwenye post ya unaibu katibu mkuu wa chama cdm, bwana zito be serious tunaiunga mkono chadema kwa kuwa tunaamini ukombozi wetu uko uko, sasa wewe na NCCR kulikoni?? viongozi wa chadema muwe serious o/w mjue uko mbele ya safari hatutataka
katika bunge akishilikiana na hamad rashid alimshambulia sana mbowe kwa kutowaingiza kt kambi rasmi ya upinzani, uyu ana aibu kurudi cdm kwa maneno yake dhidi ya mwenyekiti.ila kwa kuwa ni mtanzania na alifanya kosa basi aombe radhi cdm ili asimamishwe tena katika jimbo lake la kigoma kusini. Lakini lazima ashike adabu yake.
gENERAL... in politics there is no wrong way!!!
Its a matter of being in the right side of the see-saw when things turn ugly.... I can bet my nuts kwamba NCCR to the core are not happy, how on earth mgombea urais wa chama leo anatimuliwa kirahisi for making a phone call and questioning chairman?? that tells alot about internal party vetting and controls.. its such a revelation that CCM is way a million better by being tolerant (naimagine issue ya magamba ingekua NCCR; CHADEMA are way a million better (how they tolerated Zitto)... we need to learn and mature
Mbatia to me is a Tanzania "Comical Ali".... threatening CHADEMA, speaking with passion as if his mouth is held by screws and nuts made of platimun but nothing tangible comes out of him, he just dwarfed his brains (dont get me wrong, Mbatia was smart sana kabla ya upupu wa NCCR), he has become a puppet and a muppet at the same time
I am sorry to see these small parties behaving like small sultanates in our beloved country
WITH PARTIES LIKE NCCR AND PEOPLE LIKE MBATIA, I WOULD SAY NOT YET UHURU