Mkuu mbona unataka luturudisha nyumaSiasa za bongo zinahitaji akina kafulila kama kumi ili kuweka sawa siasa za bongo
Mkuu mbona unataka luturudisha nyumaSiasa za bongo zinahitaji akina kafulila kama kumi ili kuweka sawa siasa za bongo
Mkuu mbona unataka luturudisha nyuma
Mkuu umenenaWE NEED HAVOC IN OUR POLITICS TO BRING RESPECT AND INTERNAL CONTROL
ukiwa na wale wa ndio mzee, tunaishia kuwa kama CCM, amabpo kuna billions of talents but they end up kuwa mabubu simply because ya ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI NA WENYE PESA....
Kafulila questioned the chairman's ability to run the party and he was right, but because of Tanzania politics, he got booted; democracy yetu inanuka hadi kwenye vyama vyenyewe
Leo hii tunaona Mbatia yuko right, lakini humu JF tulikua juu sana kumuita mbatia kibaraka wa CCM. coming back to other parties... tunaona precedent ipi from NCCR?? si sawa tu na kafu sasa nao wanataka kutimuana?? a few weeks ago CCM nao nusura watimuane?? what about wale madiwani wa arusha??
OUR POLITICS NI ZILE ZENYE MTAZAMO WA GEORGE BUSH "EITHER YOU ARE WITH US, OR YOU ARE OUR ENEMY"
WE NEED HAVOC IN OUR POLITICS TO BRING RESPECT AND INTERNAL CONTROL
ukiwa na wale wa ndio mzee, tunaishia kuwa kama CCM, amabpo kuna billions of talents but they end up kuwa mabubu simply because ya ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI NA WENYE PESA....
Kafulila questioned the chairman's ability to run the party and he was right, but because of Tanzania politics, he got booted; democracy yetu inanuka hadi kwenye vyama vyenyewe
Leo hii tunaona Mbatia yuko right, lakini humu JF tulikua juu sana kumuita mbatia kibaraka wa CCM. coming back to other parties... tunaona precedent ipi from NCCR?? si sawa tu na kafu sasa nao wanataka kutimuana?? a few weeks ago CCM nao nusura watimuane?? what about wale madiwani wa arusha??
OUR POLITICS NI ZILE ZENYE MTAZAMO WA GEORGE BUSH "EITHER YOU ARE WITH US, OR YOU ARE OUR ENEMY"
katika bunge akishilikiana na hamad rashid alimshambulia sana mbowe kwa kutowaingiza kt kambi rasmi ya upinzani, uyu ana aibu kurudi cdm kwa maneno yake dhidi ya mwenyekiti.ila kwa kuwa ni mtanzania na alifanya kosa basi aombe radhi cdm ili asimamishwe tena katika jimbo lake la kigoma kusini. Lakini lazima ashike adabu yake.kirus hatukitak, zitto mwenyewe kirus.
JK anawasubiri , njooni huku CCM achaneni na NGOs.
akafie mbali hatumtaki cdm.
Hao wote wawili hawahitajiwi walipo.Mkuu hizi sio.NGOs mbona unawapa.sifa kubwa hivyo hivi vyama vinafanya biashara
Sasa mbona watu wa Kigoma ndiyo wanakaribishana wenyewe?
CDM inatakiwa iwe makini sana na hii jamii inayotokea jirani na Burundi!
mkuu uko very correct, ata kama kafulila ataomba na kurudi cdm na ata kugombea kwa tiketi ya cdm, fine lkn lazima wajue (zito pia kafulila) ajenda zao ziko bayana na watanzania tunawafahamu na mipango yao iko bayana kabisa.zitto amemkaribisha kwa niaba ya chama au yeye binafsi?nimesoma maelezo yake marefu kwy fcbk page yake (zitto) ni dhairi kabisa ili jambo la kafulia kuvuliwa uanachama nccr limemdisturb sana zitto,pengine kulikua na hidden agenda ambayo haikufikiwa malengo yake,ila watanzania wenzangu,imefika muda tutambue kua siasa ni maisha kwetu na hata vizazi vyetu vijavyo!siasa si ushabiki au ushadadiaji wa vyama while wananchi wa kawaida wanazidi kuumia.
politicians are trying to play and win our mind kwa manufaa yao wenyewe!zitto na kafulila ahihitaji kua na elimu ya phd kujua kua walikua na hidden agenda kwa manufaa yao wao,japo sidhani kama mbatia nae ni msafi kiasi hiko
Sasa mbona watu wa Kigoma ndiyo wanakaribishana wenyewe?
CDM inatakiwa iwe makini sana na hii jamii inayotokea jirani na Burundi!
Shibuda mwingine huyo!ya shibuda mmeshindwa kuyatatua na bado mnataka kuongeza kero ingine na matatizo?waungane na Hamad Rashid kuunda chama chao!cdm say no.