Ni dictionary gani hio unatumia?
Haya ndiyo maswali ya kuuliza kwani mjadala BUNGENI ni mkali na umefikia mahali ambapo ni LAZIMA UHITAJI WAKE BUNGENI UMEKUWA MKUBWA!
Na hapo ndio kaazi kweli kweli!
Ila tutajuwa kila kitu bana!
Potelea mbali na dua yako hiyo! Upumzike kwa amani wewe na si ZITTO.mungu ampuzishe kwa amani
ninazo nyingi hapa, so tafuta synonyms ya obese hata kwenye MS word kama unaitumia, au uliza next door kwi kwi kwiii
Alishasema jina lake ni PETER MKAMA!
Lakini kama mawazo yake ni ya KI UTUPU UTUPU Then yeye ni MKAPA'S MAP(MTUPU'S MAP)
teh teh teh tehhhhhhhheeeeeeeeee
Mwenye macho haambiwi tazama
he he he heeeeeeee, KAMA MATUSI SUMU NINGESHAKUFA HUMU JF. Ndivyo mlivyo na ndio maana hamuendelei na hamtaendelea. Mtaendelea kupinda tuuuuu. ha ha ha haaaaaaaaaaa.
Mama unaroho ngumu mimi ningelia kweli!ingawa ni online mtu hakuoni mimi ningelia kabisa!
Jamani hii thread ya Mhe inapambwa kwa matusi sio vizuri!
Nakubaliana na wewe mia kwa mia na hakuna mtu aliyetukanwa zaidi ya mimi Ngabu the Cassanova.....nimgekuwa nshakuwa marehemi siku nyiiiiiiiingi.....but I'm still kicking (your nasty stinky butt)....bwahahahahahahahahah
Ulie nini, subiri ukalie labor. Weee matusi yanaua, hata kufinya hayafinyi, after all sio ukweli hata kidogo, UKWELI ndio huwa unauma, he he he he he heeeee.
Kep it up, You will never demoralise me! and FYI I have never been DEMORALISED! THE MORE YOU RAIN;STRONGER AND HAPPIER I BECOME! he hehe he he heeeeeeeeee
Huyu mama inatakiwa atulizwe maana ni too much halafu MNAFIKI SIJAWAHI ONA!
MKABILA NA MCHONGANISHI PIA!
Alikuwa akimpa sapoti WANGWE KWASABABU YA UKABILA!
Baada ya kushindwa kwa credibility ya WANGWE..Akajidai kuwa na yeye hapendi jazba za wangwe!
Kila Mtu akadhani ameingiza akili...WAPI...KUMBE WANGWE NA ROSTAM KUPUMZIKA IKAWA NI ZAMU LAKE NA MABAGUZI WENGINE KUTAKE OVER!
SASA TUMESHAJUWA KUMBE MTWARA MAFUTA KIBWENA NA MADINI YOTE HUKO MARA NI WAO WANATAKA KUYAKEEP WAO BINAFSI KAMA WANANVYOFANYA SASA!
NDUGU YANGU HATA SERIKALI YETU HAINA NGUVU KAMA MTUPU NA KINA CHENGE!
JK MWENYEWE PALE NI KAMA SANAMU TU!
NCHI BADO INAONGOZWA NA AWAMU YA TATU!
HAKOHOI WALA NINI!
Sasa hawa wajumbe wa shetwani...Tutawashughulikia mara moja na Mungu amlinde Zitto...Kwani ALUTA CONTINUA!
I still Lo U.....
Tafadhali nakuomba usiniitie Pundit au Nyama Hatari.....pleeeeeease
i Am Dynamic Kufuata Ukweli With A Free Spirit, He He He Heeeeee.
Get Well Soon Zitto Kabwe: