Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
watauguzana. Kuwa na mwenza legal ni muhimu. Kila siku vichenchede hadi lini? Si kwa Zitto tu, ujumbe huu ni kwa vijana wotee mabachelor, msiogope majukumu!
Mama
Ni wewe uliyenikataza nisizungumzie kuhusu Chacha kumtelekeza mkewe Tarime aliyezaa naye watoto 12 aliyemsaidia kwenye kampeni na kulowea kwa binti wa kishombeshombe kama kimada wake hapa Dar es salaam? Ni wewe uliyesema kwamba hakuna sababu ya kugusa masuala binafsi ya mtu. Ni wewe huyo huyo hapa unamshambulia Zitto kwamba ana vicheche? Hujui kwamba Zitto ni mzazi? Unadhani mzazi mwenzie akisoma hapa atajisikiaje?
Asha