Hivi JF siku hizi kuna watu wa aina gani? hata kugawa bilioni 55 kwa say 1000 mtu hawezi?Jamani tuache majung fitna na kushadadia tuuuu. Ninavyojua mimi BOT inawafanyakazi kama 1,500 hivi nchi nzima. Sasa bil 55 gawa kwa hao ni sh.milioni kama 37 hivi. Huo ni mkopo wa nyumba. Sasa tuwe wa kweli na kumuogopa Mungu wetu hivi mfanyakazi kukopeshwa 37m mkopo wa nyumba ni hela nying sana kweli? hivi hiyo 37 m unajenga nyumba ya hadhi gani? hiyo si bei ya kiwanja tu?hebu fanyeni utafiti jamani acheni kuchukua vitu blindly sababu tu kasema Zito.Jamaa ni mjanja ndio maana hakuenda kwenye details alijua low thinkers watashadadia tu.
hao wafanyakazi ni mpaka wafagizi na walinzi au ni wa ngazi ipi , na wana haki ya kukopeshwa? Pia usisahau kuna zile bilioni 34 za mfuko wa mikopo ya nyumba , kuhusu mahesabu ngoja tukukokotolee kinagaubaga , JF is full of Mathematicians...