Chiya Chibi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 484
- 110
Ni ukweli usiopingika ataonekana anajisafisha, lakin kwasababu hatujui alizipata lin data hizo, tumpen pongezi zake na tuombee uchunguz wa tuhuma hiz za viongoz ufanyike haraka, ingawa sitegemei uchunguz huo kutoa taarifa kamili na za kweli hasa kwa hao wa CCM. Nchi inaliwa kwel kwel si utan, 152Mil. JK anasema hela hamna, kumbe kuna sehem watu wanakula kiulain?? 2015 msiishie kukata mti tu, ng'oen mti na mizizi yake kabisa ili mti mpya utakaopandwa uote kwa uhakika.