anasema siku zote we ulikuwa wapi kusikia?
Alitakiwa aende Mbali Zaidi Kama mwenyekiti wa Kamati muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anasema siku zote we ulikuwa wapi kusikia?
posts zote kwa siku moja? hehehehehe, hakyamungu ..haya mafisadi chipukizi kazi kwenu
Akienda ndani zaidi watasema kala rushwa..mbona hakuna geni inajulikana wazi Symbion ni Richmond hakuna kilichobadilika isipokuwa timing tu. Walitegea Mama Clinton anaingia nchini wakaja na kufanya Introduction ya Symbion kama vile Mama Clinton anajua kinachoendelea, kumbe masikini wa watu hajui lolote kama changa la macho alopigwa JK na tawi la CCM Washington DC Marekani. Ni wahuni wale wale waloingiza shrika la Richmond ndio wabia wa shirika la Symbion safari hii hawakuacha makosa ya Richmond kuacha miaya ya wananchi kugundua..Alitakiwa aende Mbali Zaidi Kama mwenyekiti wa Kamati muhimu
Hahahaaaaa! Anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza, lakini yule ambaye yuko tayari kuipoteza nafsi yake ataiokoa!And still this guy still dreams to become the president of this great country! ama kweli Zitto ni Janga la kitaifa!!!!!!!
Hata mimi namashaka sana na uwezo wake wa kupambanua mambo Kulingana na nyakatiUnajua wengi wetu sisi ni chadema,sasa hivi kama sio kwa mambo mawili matatu,tungeweza kuwa tunaimba uzuri wako bwana zito,tukizidi kusema pengine ambavyo ingekuwa vyema ukiwa waziri mkuu wetu wa kwanza hapo 2015...lakini???..
..Lakini sioni haya kusema I do not really understand those who keep on calling you "intelligent" while you have made such massively wrong political moves lately.
Re-think your strategy..the current one is leading you to a loose end.
zito pole kwa misukosuko,jipe moyo utaishinda vita
Hahahaaaaa! Anayetaka kuiokoa nafsi yake ataipoteza, lakini yule ambaye yuko tayari kuipoteza nafsi yake ataiokoa!And still this guy still dreams to become the president of this great country! ama kweli Zitto ni Janga la kitaifa!!!!!!!
Mbunge wa kigoma kaskazini Mh.zitto amefichua ufisadi mkubwa unaofanywa kupitia malipo yasiyohalali ya TANESCO NA SYMBION.
TANSECO wanailipa kila siku SYMBION million 152 na katika kila sh.100 zinzoingia Tanesco sh.86 inaelekwzwa kwenye malipo.
Amesisitiza kuwa hakuna utofauti wowote na kipindi kile cha RICHAMOND ambayo nayo ilikuwa inalipwa sh.million 152 kwa siku.
Mbunge amabye amejizolea umaarufu wa kuwa makini na mambo nyeti yanayogusa Taifa na wanyonge wa tanzania amesisitiza kuwa TANESCO na SYMBION wanafanyamadudu yaleyale ya RICHMOND kiasi kwamba TAIFA LKINAPOTEZA PESA NYINGI SANA.
Source :ITV
Akienda ndani zaidi watasema kala rushwa..mbona hakuna geni inajulikana wazi Symbion ni Richmond hakuna kilichobadilika isipokuwa timing tu. Walitegea Mama Clinton anaingia nchini wakaja na kufanya Introduction ya Symbion kama vile Mama Clinton anajua kinachoendelea, kumbe masikini wa watu hajui lolote kama changa la macho alopigwa JK na tawi la CCM Washington DC Marekani. Ni wahuni wale wale waloingiza shrika la Richmond ndio wabia wa shirika la Symbion safari hii hawakuacha makosa ya Richmond kuacha miaya ya wananchi kugundua..
Kibunago this is it, u nailed it.
Kibunago this is it, u nailed it.
Nadhani hajaniacha miaka 100 bali ameniacha miaka 1000, yataka usanii wa hali ya juu kukemea rushwa huku na wewe ukiwa mla rushwa mkubwa na unapata utajili wa haraka usio hata na maelezo huku ukiwa si mfanyabiashara.ulitegemea Kibs awe upande wa Zitto? Ama kweli upande wa pili wamewashika pabaya!
Matola, Zitto kawaacha miaka 100 ndio maana hamuwezi kumsoma. Na ndio maana sishangai siku hizi unafikra kama za Kibs